Habarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au...
Habarini wakuu,
Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?
Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?
Je, vipi kuhusiana...
Salaam wakuu....!
Samahani wakuu, nilikuwa naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa mbegu hizi za muhogo:-
[emoji419]i. Pwani
[emoji419]ii. Kiroba
[emoji1621][emoji1621]#Location yangu ni LINDI.
Akhasanteni.[emoji1545][emoji1545]
Kwa wakazi wote mliopo Dar-es-salaam na Nje ya Dar hii n fursa Yenu sasa. Karibuni sana kwa CHIKAWE TAILORING MART TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-
[emoji419] Tunapokea Tenders zote zinazohusiana na Ushonaji wa sare za harusi na Uniforms za Aina zote. Za kike na za kiume.
[emoji419] Tunashona Nguo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.