Leo tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es Salaam na kutangaza kwamba amejizulu nafasi yake kama Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF).
Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu...
Nguvu kubwa ya caldone ikiongozwa na majasusi waliokubuhu Kardinal Pengo, Pinda, Membe na vijana wa kazi ilikuwa imetua Chadema kwa mwezi mzima ikipita mlango wa nyuma,
Heko Chief Rwakatare na kikosi chako kwakuzuia hayo hasa ukitumia mfumo wa external battle bird ambao umewaacha hoi majasusi...
Ilani ya Moderator:
Thread hii imefungwa hadi uthibitisho wa madai haya utakapoletwa kuliko kujadili uzushi au porojo tu. Mhusika amepewa masaa 48 kuwa amethibitisha alichoandika chini ili hoja hii iendelee au iondolewe kabisa naye kuwajibishwa.
Do you know The Tanzania Intelligence Act?
Chadema wangejidanganya wasema wanaifahamu hii chama kingefutwa siku hiyo hiyo.
Try to read the Rep of Tz constitution of 1977, Sehemu ya Tatu, ibara 18-(1-2).
Watanzania nisameheni kwakuwa kimya kwa mda mrefu,
Kuna mambo mengi yamepita hapa katikati bila kuwajuza, Nitaanza kuifanya kazi hiyo wiki ijayo.
Leo nawakumbusha kidogo huko nyumba tulikotoka, nilipowapa ripoti ya siri ya Zitto kuna sehemu alitajwa mama wa UN Mjerumani kuwa alikuwa...
Zitto upo tayari nilete ushahidi wa wewe kukutana na rais na kumwambia ya Mengi?
Unatambua kuwa kila anapokaa au kusimama rais pana Special surveillance camera?
Kwasababu mliingilia na kuchafua ilibidi ufungwe, sasa hali ya udini inaendelea kuliandama taifa kwamanufaa ya watawala imebidi utafiti urudi kwa ungalizi maalumu, tumshukuru mtafiti binafsi
UPDATES
Tarehe 19/01/2015
SAFARI YA 427
Rais Jakaya Kikwete amesafiri toka Holand kwenda Davos nchini Uswisi kuungana na viongozi wenzake wa dunia katika Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani maarufu kama World Economic Forum utakaoanza 21 hadi 24/2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.