Habarini WanaJF,
Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu?
Napokea ushauri wenu
Asanteni🙏
Habarini Wana JF,
Kijana wenu naomba mnisaidie connection nipate sehem ya kufany field.
Maeneo ya field ni viwandani, migodini, viwanda vya dawa vyuoni as laboratory scientist
NB: Nimejaribu kutuma barua ya maombi sehem mbalimbali lakn hakuna majibu na muda wa field unakarbia. 🙏
Habarini Wana JF.
Glass protector aina zote zinapatikana kwa bei ya shilingi elfu moja per item.
napatikana kivule dar es salaam ukihitaj nakuletea popote ulipo kwa dar es salaam.
Contact: 0753158943
Habarini wana JF
Mimi ni kijana ni Mwanachuo kwa sasa nipo likizo. Nahitaji msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki cha miezi miwili
Posho hata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.
contact: 0621554787
Habarini Wana JF,,
Kama kichwa kunavyosem natak niwekeze io sekta nitafute vijana wapige kazi. je faida yake ipoje na changamoto zake. nahitaj ushaur kwa wenye kuijua hii biashara.
@everyone
Habarini Wana JF
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili nasoma Bsc in chemistry. Hivyo nahitaji kujitolea wakati wa likizo kuanzia mwezi wa nane Hadi kumi na moja. Mwenye connection kiwanda chochote au mwenye kujua taratibu za kupata nafasi naomba Msaada.
@everyone
Habarin wana jf.....
Mimi ni kijana wa miaka 22 ni mwanachuo nina business plan kuhusu mgahawa hivyo napend kupata mtu serious amabe tutaweza kueka plans ili kufanikisha iwe kama partnership.
If interested pm me nikupe business plan niliyoandaa ili tuweze kuwekan sawa
Pia nahitaj ushauri...
Habarin Wana JF,
Mimi ni mwanafunzi wa bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ndoto zangu ni kuendelea na masters baada ya kuhitimu kuhusu GPA nina 4.1 first year naimani itarange humo Hadi 3.8 minimum (final year).
Hivyo ningependa kujua km kuna scholarship na namn ya kupata ktk moja...
Habarini Wana JF.
Mimi ni kijan wa miaka 22 ni mwanachuo nimekuja na wazo la kuanzia biashara ya devices ndogo ndogo za electronics kam scientific calculators,smart watch na airpods.... nilijarb kutembelea site ya alibaba nimeon zinauzwa bei nafuu Sana $1-$3 maximum for scientific calculators...
Habari Wana jf..Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili kutokan na ratiba ya masomo yang kuisha mapema (saa nane mchana) mdogo wenu naomb Kaz yoyote Ile kuanzia mda huo mpka saa tatu au nne usiku
Location: Moshi Kilimanjaro
Contact:0621554787
Habarini wana jf
Mimi ni kijana ni mwanachuo kwa sasa nipo likizo...nahitaj msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki Cha miezi mitatu.
Nipo Ukonga, Dar es Salaam
Rejea kichwa Cha habari hapo juu.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza(degree) nasoma bachelor of science in chemistry. Nahitaji msaada wa maeneo ya kufanyia field nikifiki mwaka wa pili Kwani mwaka wa kwanza nilipata shida kupata hivyo kwa wanafunzi wanaosoma hii course udom au udsm na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.