Soma Waethiopia wanavyokimbia wakati sisi Watanzania bado tunatambaa. Hawa jamaa wana project nyingi zilizo under constructions nadhani kuliko nchi yoyote ya East Africa(Yeah, Kijiografia Wanahesabika wapo E.Africa kama sisi).
Wana Elevated Train line ipo under construction, hii dam nayo kama...
Kutokana na tetesi zilizosambaa katika media Britain juu ya uwezekano wa kufukuzwa kwa "THE GREATEST CHOSEN ONE" natumia muda huu kuomba wapenzi wote wa soka waliofurahishwa kwa kazi aliyofanya Moyes katika kipindi cha miezi kama 9 msaini Petition tuipeleke OLD TRAFFORD ili kuokoa kibarua cha...
ESPN imeripoti kuwa imepata habari kuwa Wenger atatangaza kuresign at 1200 GMT.
NB- Ignore the typo, ilitakiwa kusomeka to resign rather not to resigned... ESPN ndo wanavyosema.
Kwa wale wapenzi wa Arsenal waishio Marekani, Canada labda na Mexico Arsenal watazuru Marekani Summer hii. Watacheza mechi dhidi ya New York Red bulls July 26 kama sikosei ndani ya Red bulls Arena, Harrison New Jersey.
Arsenal.com-
Nimefurahi kupata hizu news lakini nadhani kama Arsenal...
Muda umefika kwa UEFA kuwatimua Bayern toka UCL lol
Hoeness trial: Bayern Munich boss jailed
A German court has sentenced Uli Hoeness, president of European football champions Bayern Munich, to three years and six months in jail for tax evasion.
He admitted defrauding German tax authorities of...
Juzi juzi nimeanza kufuatilia kwa ukaribu tabiri (predictions) za Mark Lawro na Paul Merson. Hawa ni magwiji wawili waliobobea katika kutabiri matokeo ya mechi za ligi ya England (EPL, FA cup, League cup). Ikumbukwe hawa ni wachezaji wa zamani wa Liverpool (Lawro) na Arsena (Merson) kwa hiyo...
Baada ya Fergie kustaafu refa mmoja mkongwe amefunguka na kuongelea jinsi gani walivyokuwa karibu sana na meneja mkongwe katika ligi kuu ya England. Refa Mark Halsey ametoa ndogo ndogo jinsi alivyokuwa anatextiana na Sir Alex.Tusubiri tutasikia mengi, hii issue inaweza kuzaa mbovu mbovu kuliko...
Nadhani waswahili tunachanganya haya maneno.Ninavyojua Kodi inalipwa unalipwa kama pango yaani unapokodi nyumba, chumba,eneo la kufanyia biashara au kama unapokodi kitu kama gari , nk. Na ushuru ni ule unaolipwa unaponunua bidhaa au unapoingiza bidhaa nchini.
Wataalam naomba mnieleweshe...
Chelsea have reappointed J. Mourinho as their new manager. Welcome back to EPL at least for the next three season. By 2016 Chelsea will have another manager, Mourinho's wandering history doesn't lie.
Mbona hakuna wafuatiliaji wa NBA playoff tunacheza muda huu...Game limefika 4th quarter Tanzania wapo nyuma point 3 na tunacheza nyumbani... Mungu ibariki Tanzania.
Mourinho kashawasha indicator ya kurudi "I know in England I am loved, I know I am loved by some clubs, especially one."
Habari ndo hiyo. ukitaka uthibitisho jipatie gazeti la spotiLeo toleo la jioni ya jioni.Ahsante.
The special one!:biggrin::biggrin::biggrin:
Najua Real Madrid bado wana nafasi kubwa ya kuingia fainali kuliko Barca lakini haya matokeo yatakuwa yamekata ngebe za Mourinho. Ile safari ya kukimbia Santiago Bernabeau imesharahasishwa kwa kipigo hiki. Sitokushangaa kibarua cha Mourinho kuota mbawa...
Kwa wale wenzangu wanaopenda kubwabwaja bila kutumia vigezo kujudge ligi ipi ni bora, nadhani mko njiani kutuambia Bundesliga ndo ligi bora duniani kwa sababu timu za Bayern Munich na B.Dortmund zimezicharanga Barca na Real Madrid katika Semi-fainali za UCL. Come again.
Hivi siku hizi Bongo kuna uzalendo kama ulionyeshwa enzi za vita ya kagera. Angalia jinsi teenagers walivyojitolea mhanga kuipigania nchi yao? nina uhakika leo Tanzania or Tanganyika au vyovyote upendavyo kuiita ikiingia vitani na nchi jirani nina uhakika hata wanajeshi wataingia mitini...
Jamani naomba kuuliza mechi kati ya Tanzania na Morocco katika kutafuta nafasi za World cup itachezwa lini? Kama tunavyojua wikiendi hii ndo mechi za kusaka watakaokwenda World cup zimechezwa duniani... Najua ni ndoto za alinacha kwetu kufuzu hii kitu.
Mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.