@all asanteni sana wakuu, baada ya kupitia coments zenu hasira hiyo na kumaliza kila kitu jana, ajalala usiku akipiga simu me kimia maana nimemtext text moja imeenda shule kidogo baada ya kupiga sana simu haipokelewi alianza kufunguka matext sijui huo mda kaupata wapi, nimeanza namjibu ila text...
@Mtalingolo, mpaka nafika hapa yote nimeishamueleza ndugu yangu, ngoja nifanye maamuzi magumu siku akipiga simu au kutuma text itabidi nipotezee amenichosha akili yangu.
kuna mkaka niliwahi kumdate arafu tulikaa miezi ka 2 tukagombana kwa k2 kidogo tukaliana cul miaka 2, akanitafuta kanieleza kipindi kile tatizo lilikuwa nini me nikampotezea takiribini miezi 4 anadai alinipenda sana anaomba niwe muelewa nimpe nafasi tena na yupo serious ktk hili, nikamwambia npe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.