Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
Imani za kishirikina zimetamalaki! Kama usipokuwa makini kila kitu utaona kina uchawi! Hebu Kwanza kabla ya kuendelea kujadili hili swala,unaweza kudhibitisha uchawi upo bila ya Shaka yeyote?
Mchanganyo wa Quran unaanzia pale aliposhushiwa Muhammad ili aje atusambazie Dunia nzima! Harafu humohumo kwenye Quran imeandikwa Kwa kumsifia Mungu Ni mwenye haki na usawa asiye na ubaguzi right?sasa ilikuwaje ampe mtu mmoja habari muhimu kama hizi za kumjua yeye na Sheria zake ili aje...
Duniani kuna Dini nyingi Sana sasa utajuaje Dini uliyopo ndio sahihi?na kila mtu wa Dini tofauti na yako unamuona amepotea!wakuu Dini Ni uongo mkubwa Sana uliokubalika na wengi kwa muda mrefu!binadamu wa kale baada ya kukosa majibu ya baadhi ya maswali magnum mfano tumetokea wapi,kwanini...
Mtoa post hajasema kwamba haamini mungu hayupo! Yeye anadai kuwa dini ndio zina ujanja ujanja na ni utapeli mkubwa pia sio vizuri kumwita mjinga, mbona yeye hajasema kuwa nyie mnaofuata hizo dini ni wajinga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.