Letting it go z not something am good at, but the fact the she/he ditches you for someone else better than you (hypothetically) or for any other reason. Then it's evident enough that she/he doesn't belongs to you, may advice is, you cant hold on to a broken branch while you know there are other...
kuna kazi ya kufundisha primary math kuanzia std 5hadi 7 na weekend full time 24/7 makazi unapata na chakula cha shule mashahara laki 200000 upo tayari? ni porini umeme hamna jenereta lipo kuanzi saa kumi na mbili na nusu jioni mpaka saa 4 kamili usiku.
Bila kuwapotezea mud me ni Graduate wa IT na ktk kutafuta kazi sioni mafanikio ila nina wazo la kuanzisha saccos ambayo itajumuisha vijana wote wa mahali ninapo ishi tatizo cjui utaratibu wa kuanzisha saccos ukoje na changamoto zake ni zipi? Malengo yangu ni vijana tujijengee uwezo wa kujiajiri...
Ni upande wa mbele na c mgongoni ckohoi ila yanakuja nikiwa nainama au nimejikunja au nikiwa nanyanyuka wakati mwingine nikiwa nimekaa tuu yanatokea na kunawakati bega la upande wa kushoto kwa nyuma usawa wa titi linauma pia. mazowzi huwa nafanya atleast mara 3 kwa wiki yasiozidi dakika 20...
Wadau ni tkribani miezi miwili sasa nackia maumivu katikati ya kifua changu yaanu sehemu ambapo mbavu za pande mbili zinapokutana cjui ni nini hasa nahitajj ufafanuzi please?
Wadau nimekuwa nikitafuta ofice za hawa jamaa kwa muda mrefu na kila nnaye muuliza ananielekeza DAWASCO Iliyoko posta ambao ni sehemu tu ya DAWASA ila cjafanikiwa kupata ofisi za DAWASA nackia wako KIJITONYAMA mwenye info zaidi plz nijuzeni ni muhimu sana
Kwa yeyote yule anayehitaji walimu wa kufundisha masomo ya ICT na kusimamia mifumo ya mawasiliano ktk shule yake au kutengeneza mifumo hiyo na ushauri juu ya kuwa na mifumo ya mawasiliano katika shule yako tafadhali waasiliana nami kupitia TanzaniaCreativeDesign@gmail.com Gharama zetu ni nafuu...
Wadau nawakubali kwa mawozo yenu mazuri nitayafanyia kazi lkn mwenye ndugu huko matesoni tujuzane ili tusadiadiane maisha magumu mtaani bora yakawe magumu porini au vitani na c kijiweni
Wadau nataka kujiunga na jeshi na cjui nianzie wapi na nielekee wapi na kwa nani. m2 yeyote mwenye kujua taratibu za kujiunga na jeshi na zinapatikana wapi taarifa zao tafadhali tujuzane. mimi ni muhitimu wa chuo kikuku taaluma ya mifumo ya cmputer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.