DUNIA inashuhudia kufunguliwa kwa siasa za vyama vingi na shughuli zake katika ardhi ya Tanzania, si kwa kauli bali vitendo hasa baada ya wiki nzima kuwa na mvutano juu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutangaza maandamano ya amani.
Jina la Rais Dk. Samia Suluhu Hassan litaendelea...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
TAARIFA YA KWA VYOMBO VYA HABARI
02 Desemba 2023, DUBAI - UAE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki katika Mkutano wa 28 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi.
Mkutano huo umeanza...
Walimu Wana maswali mengi ambayo kwa muda Mrefu CWT wakiongozwa na Kiongozi wao Japhet Maganga hawataki kujibu na wala hawaoneshi jitihaza zozote kutetea haki za walimu:
i) Mapato yatokanayo na vitega uchumi vya chama mfano: Mwalimu house na ofisi za CWT kila mkoa (rent), je vinamnufaishaje...
Wanachama wa Chama cha Walimu nchini tunashuhudia kwa macho yetu tabia ya kudhoofisha chama chetu inayofanywa na Bwana Maganga bila aibu. Hali hii inakasirisha na kuleta wasiwasi juu ya hatma ya walimu nchini ambao kimsingi ni wanachama wa CWT.
Mojawapo ya vitendo vinavyotia hasira sana ni...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendeleza mbio za kuongeza motisha kwa Timu ya Taifa (Taifa Stars) ambapo kuelekea mechi ya Stars dhidi ya Morocco ametangaza kununua tiketi 30,000 za mechi hiyo itakayochezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
DODOMA
Kundi la Watalii 120 wakiwemo wachezaji maarufu wa tenisi wa Marekani watakuja nchini Tanzania kutalii katika ziara ya kifahari ya McEnroe na mashindano ya tenisi.
DODOMA
Kundi la Watalii 120 wakiwemo wachezaji maarufu wa tenisi wa Marekani watakuja nchini Tanzania kutalii katika ziara ya kifahari ya McEnroe na mashindano ya tenisi
"Do you recall the story of King Henry 1? The unfortunate Monarch whom took enough quantities of Lampreys (fish) said to have snatched his life away? Later it was diagnosed that it was never the Lampreys actually that claimed his breath but rather the large varieties of abdominal pathologies...
Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya Chadema kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.
Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa...
● Julai 29, 2011: Aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Ushirika Moshi (MUCCoBS).
● Septemba 27, 2011: Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO) ulimchagua Paulo Makonda katika nafasi ya Mwenyekiti, akiwashinda wagombea wengine...
Kuna ujumbe unaosambazwa katika makundi ya WhatsApp na wanachama wa Chadema Jimbo la Namtumbo unaodai kuwa nabii THABO MASENYA wa nchini Afrika Kusini ametoa unabii wake unaodai kuwa Lissu ameandaliwa mpango wa kuuwawa.
Jambo hili ni upotoshaji wa makusudi unaofanywa na Lissu pamoja na kikundi...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano...
Ni kweli CHADEMA kunafukuta
Chadema Kuna Mgogoro Kati ya Lissu na Mbowe !!
Lakini pia tusisahau kuwa kuna migogoro mingine [emoji116]
Kuna mgogoro kati ya Lema na Mbowe, hali inamfanya Lema kuanza harakati za chini chini za kujitoa CHADEMA na kujiunga na ACT- Wazalendo
Kuna mgogoro kati ya...
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa.
Kupata Katiba mpya ni jambo muhimu, lakini Chadema imesau kwamba, suala hilo siyo jambo dogo kama...
Nimesikiliza wimbo mpya wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki almaarufu ‘’Nay wa Mitego’’ unaojulikana kwa jina la ‘’Amkeni’’. Wimbo huo kimsingi una baadhi ya maudhui ambayo hayana staha dhidi ya Kiongozi Mkuu wa nchi, pia yamelenga kupandikiza chuki na uchochezi dhidi ya...
“Jezi zetu tano zitakazo zinduliwa juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro zitakuwa na majina ya Viongozi wa Serikali mgongoni Rais Dkt. Samia , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mwinyi, Makamu wa Rais Dk. Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa, Spika wa Bunge, Dkt. Tulia na Rais wa...
Mnamo mwaka 2020 Wakili Peter Madeleka alikamatwa na kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi no. 40 (Economic case no 40/2020) katika mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha. Katika kesi hiyo alishtakiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kughushi (forgery) kinyume na Sheria ya Mwenendo wa Adhabu (Penal Code)...
Nimeshangazwa sana kuona
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikitoa tamko la kutoshiriki Uchaguzi mdogo wa Madiwani katika Kata 14 zilizopo kwenye Halmashauri 13.
Nimezisoma sababu zilizotajwa na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi huo, kwa kweli sababu hizo hazina mashiko.
Kwa mfano hili...
MKUU wa Wilaya ya Morogoro,Rebeca Nsemwa,amejikuta akipokelewa na Mabango pamoja na vilio kutoka kwa wananchi wa Vijiji vya Dalla tarafa ya Bwakira na Mbwade tarafa ya Mvuha katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro wakishinikiza kurudishiwa ardhi yao ekari zaidi ya 1000 zinazodaiwa kuchukuliwa...
Zaidi ya wakazi elfu 40 wa Vijiji viwili vya Dalla na Bwade vilivyopo wilayani Morogoro mkoani Morogoro wameiomba serikali kuingilia kati kurejesha ardhi yao yenye ukubwa wa ekari zaidi 1000 iliyochukuliwa kwa njia ya utapeli na aliyekuwa waziri wa Mifugo LUAGA MPINA tangu mwaka 2009...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.