Search results

  1. J

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Aksante kwa kumbukumbu hii! Nyongeza kidogo kwenye kumbukumbu hii wanafunzi waliokamatwa kwenye zoezi la utambuzi walipelekwa Segerea kufungua gereza jipya!
  2. J

    Uaminifu ni bidhaa adimu sana Tanzania

    Tumejielekeza sana kwenye maendeleo ya VITU badala ya maendeleo ya UTU ambao kwa kawaida una tabia ya kuleta na maendeleo ya VITU
  3. J

    Uaminifu ni bidhaa adimu sana Tanzania

    Umeongea jambo muhimu sana na linatugharimu sana! Hata kwenye biashara leo hii ni vigumu kununua hata mafuta ya Alizeti njiani kwa sababu tu unaweza kuuziwa feki matokeo yake ukitoka Dom kuja Moro njiani mafuta chungu nzima wanunuaji hakuna japo wanaopita wanatamani wanunue na bahati mbaya hata...
  4. J

    Bodaboda mnawahi wapi?

    Tatizo la bodaboda kule kupatia mara moja wanafikiri mara zote wataendelea kupatia
  5. J

    Shule ambazo mtoto anashinda siku nzima shuleni kama watu wazima kazini ni hatari kwa future ya mtoto zama hizi

    Daah! Hili sijui nani atatunasua utoto umekuwa mateso zama hizi tofauti na zamani
  6. J

    Mbona orodha ya matajiri Tanzania, Kenya, Uganda wengi ni Waarabu na Wahindi na si waafrika weusi?

    We kwa sababu sisi tuko huku tunawajadili wao hali ya kuwa wao wanazitafuta muda huu
  7. J

    Kwanini wazawa utajiri wetu ni wa kawaida?

    Mbali na sababu nyingine pia sisi hatuna discipline pesa kidogo tu kila Mahali unataka “tutambuane”
  8. J

    Huzuni/furaha tunazitengeneza sisi katika haya maisha, kila unachodhani kitakupa furaha kipo neutral + SULUHISHO LAKE

    Ni hisia unazozitengeneza mwenyewe kichwani kwako! Ndiyo maana hata mfungwa kuna wakati anakuwa na kicheko
  9. J

    Natamani kupata mwanamke mtafutaji kama mimi

    Wewe hutafuti Mke unatafuta mdau wa maendeleo!!!
  10. J

    Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

    Mwenye uchungu na maumivu ni ndugu au jamaa wa aliyeuawa yeye ndiye aulizwe adhabu ikitolewa anaridhia iendelee kama hataki itolewe mbadala, sisi wengine tusiwe wasemaji wao ni kawaida tunapokuwa nje ya maumivu yao kuhisi tuna huruma! Lakini wakati huo huo tukiibiwa chaja tu mwizi anapigwa moto...
  11. J

    Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

    Ashukuru yupo kwenye neema wenzie wanaishi kama wapo depo Mara akamilishe kazi zote za nyumbani ndiyo asome, ada yenyewe haipatikani kirahisi lazima apambane
  12. J

    Lindi hadi Mbeya kwa barabara kuna umbali gani?

    Niliwahi pita hiyo ruti ni mkeka na hakuna gari nyingi zaidi unakutana lori za Dangote hakikisha mafuta unajaza ya kutosha hakuna vituo vingi vya mafuta
  13. J

    Tunduma ni moja kati ya maeneo muhimu sana kuishi na kufanya biashara ya mazao

    Ukiendekeza imani hizi hakuna kitu utafanya, hawa wapo kila nyanja hadi maofisini wewe angalia yanayokuhusu
  14. J

    Naomba ushauri wa namna ya kutatua tatizo la kushindwa kujiamini

    Yaani hii story kama unanisema mimi kila kitu siwezi kuongea mbele za watu lakini ukinipa kalamu Mara nyingi ninachoandika huweziamini kuwa ni mimi nimeandika
  15. J

    Nini kinasababisha Mabasi ya Mikoani Siku hizi Kuchelewa kufika yaendako tofauti na zamani wakati Barabara za sasa ni Lami tupu?

    Swali nzuri la kujiuliza pia vipi ukilinganisha rate ya ajali za mabasi kwa miaka hiyo na sasa hivi?
  16. J

    St. Francis Mbeya kuna siri gani?

    Hivi unataka kutuaminisha mnunuzi wa paper ni St.Francis tu na ndiyo maana wanafaulu kwamba miaka yote wameingia ubia wa kuuziwa paper! Hapa ndiyo tunakwama kupata ukweli badala ya kujifunza kutoka kwao namna wanavyofanikiwa tunajipoza kwa wananunua paper ndiyo tumemaliza
  17. J

    Inawezekana vipi mtu aliyekuja Dar es Salaam mwaka 1992 kukosa kiwanja?

    Una masiakhara ubungo kiwanja jero! Hata mabwepande usingepata
  18. J

    Hivi Mmiliki Wa WhatsApp, Instagram na Facebook anapataje Fedha Mimi nikitumia Mitandao yake?

    Kwa kawaida bidhaa yoyote ukipewa bure jua bidhaa ni wewe si hiyo bidhaa
Back
Top Bottom