<br />
<br />
kwanza kabisa huwa viwanja vya kumilikiwa kabla ya kupimwa huitwa squatter na vinapotangazwa kuingia katika mipango miji huamia katika granted right of occupancy na baada ya kupimwa wamiliki hushauliwa kubadili hati kutoka ardhi inayomilikiwa kimila kwenda katika hati miliki...
nimegundua watu huwa tunatawaliwa na hasira sio fikira. Tujalibu kuchuja mambo kabla ya kusema. Kweli inawezekana kijana kafanyiwa hayo mbona shutuma ni kwa cdm na wala c cuf au kunajambo gani kuwajenga na cuf kama suspect lets not judge presumption of innocence ni nzuri ili kulinda amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.