The laminate seems working for Diesel Generators and my level 1 Diesel emmision car 😂.Savings has been somewhat substantial. There is a need to see if it can provide same magic for up to 2 years as claimed by distributors. Otherwise price is scary.
AdPower inawezekana una product nzuri ila unashindwa kujieleza. Oxygen is at the centre of everything in Engine, the lower the oxygenated air-intake the lower the combustions and carbon-fouled plug. walichofanya hao jamaa wame deal na Oxygen tu maana wanajua Quality ya mafuta in third world ni...
Kijana mishahara ya serikali imetofautiana kutokana na kada ,mwalimu(academician),administrative (accountants,HR na wengine) kwa mshahara wa Accountant III unaweza kuwa kwenye pgss(10-12) from which you will get an amount and benefit ,commensurate with that Scale
Pole Kijana
Inawezekana umejaribu tiba au hujajaribu ila kwavile hayo maeneo ni mazuri kwa bacteria kukua na kuzaliana,fanya yafuatayo:
1.tafuta sulphur(njano)
2.pia olive oil
changanya upate rojo(1&2)
hakikisha kuwa umeshave vya kutosha na paka huo mchanganyiko katika eneo ambalo unaona...
Navyojua mimi ukishatoka damu kwenye maandamano uko CHADEMA tayari-ref: Mshumbushi aliwahi kutoka damu Arusha kwenye maandamano Arusha,so ni mwanaCHADEMA huyu jamani "ndani ya CHADEMA kuna damu yake"
best regards
Nikushauri mzee naona wote wanakukwepa
Exemption kwa civil servant bado ipo,na gari isiwe chini ya 2004 maana inaenda January sasa 2013, isiwe na >3000CC
make it happen
best regards
Wakuu,
Hongereni kwa comments,
Ushauri wangu kuhusu hili ni kwamba ,kula mixed fruits si mbaya ila kuna ukweli kwenye "mixed PH fruits" namaanisha kama wapenda kula matunda,kula ya aina moja(matamu),,,,,,,usichanganye na machachu(limao,chungwa,) hapo unatengeneza matatizo kwenye mfumo wa chakula...
nkusaidie kidogo hasa pale mzee ndachuwa alipoongezea ,MSc na MBA zina tofautiana kwenye syllabus,infact uki dig much humo kwenye hizo curriculum zao unakuta objective yao ni mmoja tu hasa kwa mambo haya ya (business&finance) kwenye ajira kama unavyouliza huwa kama masters ni preffered and not...
Ngudu mzizi mkavu huwa nazifurahia sana comment zako na hili la leo nimeona niweke na mimi mchango wangu,hapa arusha huwa tunayapata kirahisi hayo maziwa maana yanatoka TURKANA kama ukiyapata kabla hayajawekwa "nyingi" ukawa unayaweka kwenye friji asubuhi una jog,ukimaliza unapata kikombe cha...
Pole bwana GAMBALANYOKA labda mimi nikupe mbadala wa Tiba kwa maana ya namna ya kuishi na hiyo Gaut ,kama unataka kupona kaka acha pombe na nyama hasa za kuchoma,the latter(nyama choma) ina URIC kubwa mno na the previous(BIA) ina kitu kinaitwa PURINE nyingi mno sasa hivi ukiviendeleza baada ya...
Labda niwasaidie vijana,inawezekana uliyetoa thread ukawa unawasaidia pia wengine wanaotaka kuelewa,kifupi hii ni taasisi mpya na vibali vya ajira vinatoka hazina,ila kwa kuwa wameshateuliwa wakuu wa chuo kwa maana ya Mwenyekiti wa Bodi (Prof.Mwakyusa) na Mkuu wa chuo(His execellence Dk.Bhilal)...
let me thank you guys for appreciating that ,Ndechumia, sawe boy, and the thread bearer ,there is a scholarships here I wonder to date there are still few Tanzanians applicants while the institution is yours applauds for more TZ to apply,there is a very attractive package for those who will...
labda nkusaidie kijana,(bearer of the thread)kifupi hakuna mtu aliyeitwa kwenye interview mpaka sasa ila mambo yote yameiva na labda niweke sawa kidogo kuwa mishahara yote ni kwa TSH na scale ni zile zile za serikali,
Shortlisted candidates will be contacted sooner rather than later and priority...
labda nkusaidie kidogo ingawa ungeenda TRA ungepata majibu zaidi (Tailored) to your needs ,hujasema ww ni mlipa kodi wa aina gani? presumptive au ni accounts case naposema nhivyo namaanisha income yako inagenerate kiasi gani kwa mwezi au unapata faida kiasi gani labda tuanzie hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.