Dar es Salaam.
Mwanasheria Damas Ndumbaro ametoboa siri ya ugomvi wake na rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuwa ni basi la Taifa Stars na urais.
"Kuna mambo mengi yamejificha nyuma ya mgogoro huu, lakini nadhani chuki yangu na Malinzi imechangiwa na mambo kadhaa,"...
Sikutarajia kituo kama hiki kufungiwa sababu dk Mwaka amekuwa akijatangaza sana kwenye radio na tv na niliamini kituo kina vigezo vyote vya kitaalamu vinavyotakiwa
siku moja Lowassa alihojiwa kwenye tv kuhusu ujenzi wa udom,akasema yeye alipokuwa waziri mkuu aliwaita wakurugenzi wote wa mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu mifuko hiyo kutoa fedha za ujenzi wa udom na akawaambia mkurugenzi ambaye angetaa mfuko wake kutoa pesa basi aandike barua ya kujiuzulu.
wanaojua maana ya balozi wa heshima wanaweza wakatusaidia, mfano Emmanuel Ole Naiko ni balozi wa heshima wa Botswana hapa nchini pia Profesa Simon Mbilinyi ni balozi wa heshima wa nchi fulani siikumbuki.
Sitta halisi ameanza kuonekana. malipo ni hapa hapa duniani kama alimwondoa Lowassa madarakani ili aonekane msafi, ameshaonekana ni walewale, anateketeza mamiliini ya pesa kwa kututungia katiba yake mbovu ambayo haina vision yoyote kwa maendeleo ya taifa.
mimi nalia na gazeti la Mwananchi kwasababu limekuwa likimpamba kwa kipindi kirefu Sitta kama vile ni kiongozi mzuri wakati sio kweli, sijui Mwananchi wana ajenda gani naye.
Kikwete aliwahi kusema viongozi wa dini wakizungumza nchi inatetemeka, alafu yeye anatoa kauli hii ya dharau, hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.