Natumia tecno camon CX air,ni simu nzuri tu ila ina changamoto katika charge,inakaa na chaji vizuri tu ila sasa kwenye kuchaji ndo kimbembe unaweza ukaiweka chaji saa 1 asubuhi ukija saa 5 kuangalia,unakuta imeingia 15% tu, ukitaka ijae full labda masaa 10 + lakini napo inaweza isijae unaweza...
Doh! Washkaji nendeni XXL DJ Sinyorita kakinukisha huko doh! Huyu demu siyo mtu mzuri anapiga mix za kufa mtu yaani alivyonimiksia ile ngoma ya gyptia halafu akagusa roko ya mtaalam tyga aaaahhh kuna redio zina kazi kubwa sana kwa clouds
Duh! DJ Sinorita shikamoo
Nilipeni jero langu, haiwezekani kipindi hii ya corona,hali mbaya kichizi halafu mi nalitoa jero(500 tsh) langu la ngama nanunua vocha yenu,naunga bando la mbs halafu netweki yenu ya internet hakuna,yaani tangu nimejiunga sijatumia mbs hata kiduchu..yaani hadi kufika kesho mchana hamjarudisha 3g...
Wadau, mbona siku hizi nchi za jirani sizisikii zikitaja idadi ya madereva waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona?
Tulizoea kusikia madereva 85 wamepimwa, waliokutwa positive ni 80,77 ni Watanzania, 1 Rwanda,1 Mganda,1 mcongo. Sasa hivi nina week sijasikia Rwanda wala Uganda wakitangaza...
Je, Google drive ni nini?
Ipo kwa kazi gani?
Inafaa kwa matumizi?
Naomba pia mnipe maelezo ya ziada kuhusu Google Drive.
Kuuliza ili kujua si ujinga, ujinga ni kubaki na kutokujua wakati unaweza kuuliza watu wakakujuza ukajua.
Hapa nipo na marofa wenzangu tumeshashiba ugali wa mama ntilie, ghafla stori za corona zikaanza na ubishani mkubwa ukatokea,
Hivi serikali kwa nini isitangaze uvaaji wa barakoa kila mtu pindi anapotoka nyumbani kwake hasa katika haya majiji yaliyoathirika zaidi, mmoja kati ya marofa akasema...
Nina simu yangu HTC one ni simu ninayoipenda sana sana sana, lakini imepatwa na tatizo..mara ya mwisho ilikuwa inachemka sana nikitumia kwa muda mrefu na ile screen yake inaonyesha kama kuungua fulani.
Nikiacha kutumia inapoa..sasa juzi ilivyoisha chaji usiku,asubuhi nimeiweka chaji haipeleki...
Nyie fc guruguja hamna utani kabisa yan mmeweka full kikosi..ina maana hadi vikombe vya uji mnavitaka???.. kudadeki yaan mmekitolea macho hamna masikhara kabisa
Wadau nina miaka 9 kwenye vi-biashara vyangu vya hapa na pale, lakini tangu zamani huwa naishangaa sana hii siku ya Jumanne, biashara inaweza kuwa mbaya na kusuasua siku zote, lakini ikifika tu Jumanne kudadeki yaani napiga biashara hadi najiuliza hivi MUNGU ameweka kitu gani katika hii siku...
Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.
Ukikosa shauri yako
Clouds FM
Tuonane tarehe 8,
Levels baby
Wakuu nina amini kupitia jamiiforum ninaweza kupata taarifa sahihi kabisa,wakuu nataka kupeleka bidhaa zangu kwenye hii minada inayofanyika katika jiji la Dar es salaam,kama kuna mdau anaweza akaniambia ikiwa kuna taratibu za kufuata au nipeleke tu mzigo mnadani
Inaitwa bange,tangu nianze kuitumia hii kitu miaka miiiingi iliyopita hadi leo hii sijawahai kuona ubaya wa bange, nimeanza kuvuta mmea tangu nikiwa form 2,hadi nachukua degree yangu hadi leo hii nina harakati zangu hapa town huwa napuliza tu,kiasi ambacho ukiniona kazini huwezi amini kama mi ni...
Kenya have made it possible to contribute 4 major slums in the list of the world worst slums,
Wakenya hiki ni kitengo chenu bwana msiisingizie dar es salaam
wadau kuna demu mmoja hapa kitaa yaani ni bakora mtoto mzuri kinyama yaani,basi mdau nikamzimikia nika anza kumlia misele japokuwa mdingi wake ni mkali lakini nikakomaa,nikafanikiwa kumwaga sera zangu,dah huyu demu ni ananibania huwezi amini hii wiki ya pili nafukuzia lakini natoka kapa,yaani ni...
Je,naweza kui-root simu yangu Sony ambayo ni 3G iwe 4G??
Au iwe na mifumo ya simu nyingine ambazo ni 3G??
Kwa hapa dar es salaam,niende wapi ili nifanikishiwe ili jambo?..niandae shilingi ngapi?..maana nataka ni-improve my smartphone life..
Wadau eehh bila shaka mko poa,
Kama una ushauri naombeni tu mnishauri tu kijana mwenzenu,toka mwaka jana nimekuwa nikijichanga changa nipate mkwanja kidogo niende mamtoni (marekani),siendi kufanya mishe yoyote nataka niende tu kuondoa tongotongo si mnajua kibongo bongo mtu unaweza kuzaliwa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.