cha ajabu zaidi ni kwamba mswaada hauna future plan kama wao wazaniavyo,one thing si kweli wao watatawala mda wote au milele manake basi badaye watapata taabu kwa mambo walioyatengeneza wenyewe note hawa waliopo watakuwa hawapo hivyo basi vijana tuangalie katiba mpya kama muhstabali wa maisha...
kama humuelewi Marando utakuwa una matatizo binafsi kwani uelewa wako wa kuchanganya siasa na profesional unataka kuibua hoja nzito huku ukijua kabisa unachokizungumzia be open mahakama haitetei haki bali inatetea sheria proffesional unaweza ukafanya kitendo kinachofanana na wizii lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.