Ina frem 3 bado ni mpya ina 3phase umeme,parking,3bathrooms.
Mobile:0767700292 serious buyers only
Kerege(Bagamoyo rd) ni eneo linalofuata baada ya kutoka Bunju,na Mapinga
Sent from my HTC Desire 620G dual sim using JamiiForums mobile app
Habarini wadau...Jamani nani mwenye kujua hii kitu inafanyika lini?maana nimepata msg kuwa ni kesho ...naskia ni nzuri kuna yeyote aliyewahi shiriki kati yetu? Asanteni
Wasiwe wachonganishi, wala wasiwe watumwa wapombe; bali waonyeshe mfano mwema. 4 Hivyo wawafundishe akina mama vijana kuwapenda waume zaona watoto wao 5 nakuwa wenye kiasi na safi, wakitumia wakati wao kushughulika nyumbani mwao. Wawewema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungu lisije...
We get mad over the smallest reasons. We over-analyze everything.
We feel a sense of jealousy when we see you talking to someone who has more to offer.
We get sad at the thought of ever losing you.
We start pointless arguments and fights, just to see if you care enough to stick around.
We often...
Kwa wanaume mli-ooa(married) hivi kwanini baadhi yenu mkeo akipendeza mnanuna? (naongelea age mate kati ya 29-35..huko kwingine sijafikia (time will tell)
wakati mkiwa wote labda mmekaa mahali akipita mwanadada kapendeza zake tuseme kiumri hawapishani sana na mkeo mnajiiba- iba kuwatizama,haya...
TB parents...lol Please dont ignore the prayer at the end
Children are a photocopy of their parents's character
You are the hydro power dams from which they
Can tap the power of living light.
But if the dams are empty of values, and the water levels are too low,
What will they tap? Only...
A Man buys a lie Detector Robot which slaps people who lie...
He decides to test it one evening at Dinner. So he asks his son.
>>>>
>>>>''Where were you today during school hours??''.... ''l was in class''.... Son
>>>>replies.. ''Twack!!!'' the Robot slaps Son. The Son goes...
Mara nyingi ndoa zote huanza na furaha tele pamoja na familia na marafiki,kila wanandoa wana ndoro na mipango mizuri kwenye maisha yao siku zijazo. But the road to a happy marriage is far from easy. Maisha ya leo yanaonyesha migogoro ya ndoa ilivyo & many couples opt not to complete the journey...
WanaJF wenzangu hebu tuchek hii.........
The foundation upon which you build your marriage relationship is a mutually agreeable and mutually binding plan. That's what makes marriage successful. It's not a "tingle"; it's a life-time commitment. It's not competition; it's cooperation.
Is your...
Wanajf natumai mkop poa,kama sijakosea nadhani kuna wazazi humu na natumai itasaidia japo kidogo...samahani kama ntakua nimekosea sehemu ya kupost........
Can you relate? If so, here are eight things I do to develop my relationships with my kids, in spite of a hectic schedule.
1. Take one child...
Kuna wazungu wameonekana siku ya jana mitaani wakitembelea maduka yanayotoa huduma za M-Pesa wanadai wao wametoka makao makuu.Wakifika wanauliza una float kiasi gani kwenye akaunti yako,majina ,na namba za simu kitu ambacho ikiwa yeye ametoka makao makuu ni lazima akicheck namba yako anaweza...
Jamani wana JF maji yamenifika shingoni,
Ni mume wangu nampenda na kumuheshimu sana ila kuna mambo yanayonikera,mda mwingine ananilazimisha nikae naye kwenye baa mpaka usiku sana nikimshauri kuwa inatosha twende nyumbani yeye anakuwa mkali na kuniamuru nichukue gari au tax nirudi nimuache yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.