Hakika mbuzi wa maskini hazai. Na kama unadhani elimu ni gharama, embu jaribu ujinga tuone.
Elimu bila malipo imekupumbaza, na sasa umekuwa huna msaada kwa badae ya mwanao. Useless kabisa.
Ukiwa kama mzazi unayejitambua, shirikiana na wazazi wenzio na bodi ya shule anaposoma mwanao, kisha...
Tatizo sio mashabiki, tatizo uongozi. Hivi hawa viongozi waliwezaje kumleta Manzoki kipindi kile wanatafuta kura ili kushibisha matumbo yao badala ya kuwa wamemsajili wakati wa dirisha la usajili? Inamaana walimleta u tuone wao ni miamba kumbe ujinga mtupu.
Majibu yote yanaweza kuwa sahihi, lakini BAHATI pia ni nguzo muhimu sana katika mafanikio. Mfano kuna dogo mmoja tarehe 1 January 2023 kabeti kwa buku 2 akashinda 6 mil. Kama sio bahati ni nini?
Sio kuvuta tu, na anauza pia. Na sio sigara tu yeye unakuta anatumia na kuuza hadi ganja. Alafu unakuta kwenye sigara kaandika 'UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO'
Shukrani sana mkuu Msweden , mkeka umechanika lakini upo vizuri. Ule wa jana ulitiki, wala sijutii kufuata mikeka yako. Kwangu wewe ndo the best, big up bro.
Hivi ukiusoma huu uzi toka mwanzo hadi hapa tulifikia umeona wapi tunauziana odds? Hauoni kuwa umevunja terms and conditions za huu uzi? Nadhani achana na huu uzi, bora ukafungue group whatsapp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.