Mkuu heshima nyingi kwako, mwezi uliopita nilikuwa maeneo ya usambaani, na moja ya mambo nilisikia ni hii ya vitigo, kwa heshima kama hotojali naomba utuandalie thread inayoelezea haya mambo pamoja na mambo mengine ya kimila ambayo huenda yanamaliza watu bila wenyewe kuyajua.
Nyie mlikuwa mnafurahia kuoneshwa maswali kwenye test, lakini kiuhalisia huyo lecturer wa Kikorea alikua anawaona vilaza, mamburula, hamjui kitu, hivyo akaona isiwe kesi, njia pekee ya kuwasaidia ni kuwaonesha maswali ya mtihani ili walau mtoboe, hiyo sio sifa, mwenzenu alikuwa anawaona vilaza.
Unamjua Rehema Simfukwe?
Martha Mwaipaja ana tofauti gani na Bahati Bukuku? Tena kwa vigezo ulivyoweka, Bahati Bukuku yupo mbele ya Martha Mwaipaja. Boaz Danken pia yupo mbele ya Joel Lwaga!
Acha kuitikia tu, tv ikishakuwa smart means tayari inaweza kupokea internet through Wi-Fi, sasa hizo adapter zako ni kwa ajili ya pc ambazo hazina Wi-Fi. Haya kwenye smart tv hiyo driver itai install vp kwa kutumia hiyo CD???
Asante kwa ushauri mkuu. Ila nimesema "Lg inapewa kipaumbele", haimaanishi ukiwa na Panasonic, au Sharp au Samsung sitaihitaji. But in short nimesema LG kwa kuwa almost electronic appliances zangu zote ni za LG
Usd 800,000 = 1,760,000,000 TZS ukiigawa kwa hizo sqm 35,395 utapata about 50,000 TZS per Sqm.
Be Serious bro, kama kweli unataka kufanya hiyo biashara!! Mwanagati 1 SQM should be about 12,000 so hiyo bei yako angalau ili ifikirike kuuzika, unapaswa kuigawa kwa 4 ambayo ni dola laki 2 that is...
Utafiti usio rasmi unaonesha kwamba moja kati ya sababu zilizoipa ushindi CCM kwenya chaguzi zilizopita ni herufi zake ( alphabet).
Ikumbukwe watanzania wengi ni watu wasio na msimamo na wana maamuzi ya ghafla, hivyo kwenye kupiga kura huwa wanachagua tu jina la kwanza watakaloona na kwa kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.