Natafuta chumba cha kupanga
maeneo ya sayansi mpaka Morroco, Sinza au Mikocheni.
sifa za chumba ni:-
1. Iwe chumba na sebule self
contained na jiko, maji na umeme.
2. Ndani ya fensi
3. Pawe na uwezo wa kufika gari
mpaka kwenye nyumba
4. Karibu na barabara na usalama
uwepo.
Mwenye...
Kwa akina dada wanaohitaji dawa ya kurefusha nywele na kuzifanya ziwe nzito wanaweza wakapiga namba hzi,(0716574636/0787638521) wakazipata. Ni kwa sh. 10,000/=. Ni dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa Alovera, na imetengenezwa USA.
Dawa ya kukuza, kujaza, na kufanya nywele ziwe nzito inauzwa kwa bei ya sh. 8500/= tu. Mnaweza kuipata kwa kupga simu 0787638521. Napatikana Dsm, Karibuni kina dada na kina mama.
Naombeni msaada kwa anayelifahamu shirika la Fhi lilipo hapa dar. Nafahamu tu liko oysterbay, lakini sifahamu exctaly location. Naombeni tu mnielekeze. Asanteni wana'jf
Wapndwa naomba msaada kwa yeyote aliyeko chuo kama anaweza kunisaidia kunichekia timetable ya sup kwa somo la EC.116 inafanyika lini. Plz naombeni msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.