kama ni ile Raha Leo inayotoka Tanga saa 10 jioni mbona hapo bado kwenye corridor ya hlo basi huwa kuna vigoda vya kukalia watu yani hata kwenda kuchimba dawa huwa ni issue pa kupita..waTz tunahitaji kubadilika kwa kweli unless we will remain surrow 4 life!!!
hyu n kati ya watu ambao wanaishi kw kukariri na ninawasi wasi hta na ufaulu wke..nowdays elimu haipimwi kwa ukongwe wa chuo bali ni facilities zipatikanazo..hyo UDSM bora E.A anayoizungumzia yeye n ya enzi za akina Samwel Sitta n si hii ya wataalam wa migomo ambao wanakaa nyumban miez 2 ndan ya...
atakuwa amekaririshwa ku-smile kama watangazaji wa Tv..na ndo maana hata akitoa maagizo watu huyachukulia poa tu na kuyapuuzia bila ya utekelezaji sbb ya kucheka cheka kwake kusiko na msingi wowote hta kwenye mambo serious!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.