Watu bhana,ndege si ya masafa marefu kwa hiyo lazima kila baada ya umbali flani na kifanyiwa inspections husika. Muwe mnauliza kabla ya kuandika ujinga wenu
Wanajamvi nipo hapa Korogwe kwa zaidi ya nusu saa hakuna gari inayoenda wala kutoka Kimara, watu ni wengi kiasi hata kusogeza mguu huwezi.
------Updates-----
tramadol said,
Kuna ajali mbaya ya mabasi ya mwendo kasi maeneo ya Shekilango baada ya basi moja kuligonga basi lingine kwa nyuma...
Habari hii ni ya ukweli, naweza kuwa nimekosea hapo kwa kwenda kwao, lakini labda kwenda huko alikoenda,,,,sikiliza redio tumaini hasa asubuhi labda washtukie na kuifuta
Leo wakati najiandaa kwenda kanisani ibada ya pili nikasema ngoja niweke redio yetu Tumaini.
Baba Askofu akitoa salamu za Xmas kwa waumini alisema kuwa yeye anaona maisha yana nafuu sana, labda kwa wale ambao walizoea kupata fedha ambazo si halali ndio wanaolalamika.
Kukazia hilo akasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.