Esim sio kigezo kikubwa sim bado zinatengenezwa na pande mbili NANO NA ESIM mimi nasubiri ambayo itakuwa fully esim support Bila physical sim card sasahivi nishauri vingine.
Haha yaani mie mwenyewe nilishangaa, chakushangaza zaidi kwenye website yao iko pay on delivery option nimewauliza whatsapp wameniambia ndio unaweza pay on delivery, kuna option ya kuweka oda unajaza info na una click "pay on delivery" na ila kitu kimoja nilipoulizia hii husika wameniambia...
Niliona nijaribu kusubiri nitafute 8th gen kwa ajili na matumizi ya future nimekutana na hii vipi hapa bei Tzs 590,000/-(Ni Mpya)
Asus Vivobook Thin and Lightweight HD Laptop
Powerful 8th Generation Intel[emoji2400] Core[emoji769] i5-8250U 1.6GHz (Turbo up to 3.4GHz) processor
15.6” FHD WideView...
Hapa unisaidie tena i5 ina Full hd 1080P kosa ina 4GB ram na i7 ina 8GB ram haina full HD iko HD(1366x768). Ipi hapo sasa? Yenye bei ndogo ni i5
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hata games i7 inafaa (GTA 5) Inacheza vizuri na inaweza kuhandle kazi vizuri.
Mie nina duka la dawa ila huwa nafanya editing 3D sio sana ila nikijiskia na napenda games? Au nisiisukume ikafa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii vipi?
*Dell Inspiron 3467*
Core i3 2.0ghz
6th Generation
ram 4gb
hdd 1tb(1000gb)
14" LCD Display
6hrs Battery Life
*BRAND NEW/BOXED PC*
One Year Warranty
*Price Tshs. 640,000/-*
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.