Tangu Iphone zianze kutengenezwa kumekuwa na toleo la line moja tu hadi mwaka 2018 walipotoa Iphone XS yenye dual sim.
Mtaani kumekuwa na watu wengi wasijua hili na mara nyingi wanasema simu hizo ni fake jambo ambalo sio kweli hata kidogo.
Dhana hii inaweza kuwa inachangiwa sana na wengi wa...
Habari wananzengo,
Mdogo wangu amekuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Ulcerative Colitis tangu 2016 hadi leo. Ugonjwa huu unahusisha kujisaidia damu pale uendapo chooni. Tulimpeleka Aga Khan Hospital na baada ya kufanyiwa Colonoscopy, madaktari walijiridhisha kuwa anaumwa Ulcerative Colitis na sio...
Kijana huyu na kundi lake amekuwa mstari wa mbele kukihujumu Chama cha mapinduzi kwa siasa zao za chuki na kutafuta ugomvi.
Ni jambo la ajabu na la kusikitisha sana kwani kijana huyu ana sifa ya kusaka ugomvi na inaonekana hadi kwenye utendaji wake kwenye akiongoza Habari Corporation.
Makala...
Mbunge wa zamani wa jimbo la mchinga ndg Mudhihiri ambae kwa sasa ni mjumbe wa bodi ya korosho Tanzania, amekuwa akipokea malipo ya matunzo kwa ajili ya ulemavu wake wa mkono uliokatika mwaka 2008.
Malipo haya yamekuwa yakipokelewa na mke wake ili kumtunza kwa ajili ya kufanikisha majukumu yake...
Ways to make her smile
1.Stay off your phone while with her
2.Send her a cute good night txt while she is asleep so she wakes up with a smile on her face.
3.Disrupt her concentration with a forehead kiss…women love forehead kisses.
4.Pull out her chair,open the door for her,let her...
Kwa mujibu wa Zitto kabwe hadi sasa saini 30 zimepatikana kutoka CDM,CUF na NCCR.
Wabunge wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa serikali bwana Lukuvi
Source: Zitto on twitter
Update
Deo filikunjombe ametia saini
NI ushindi huu
Zitto Zuberi Kabwe ‏ Zittokabwe
#Sahihi70 ndugu...
Nimekutana na sifa hizi kwenye mtandao.
Naomba maoni ya kina dada kuna ukweli kiasi gani hapa
1. The Provider
He puts family first, always. He's a selfless man, who lives to please those he cares most about. He's the kind of man who can work two jobs in his sleep, always has a side-hustle in...
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye...
Uchumi wa Tanzania Unakua kwa kasi ya mfano wa kuigwa duniani.
tazama forecast hii ya WB kati ya 2011-2015
Source The Sun.
Forecast of annual GDP growth 2011-15
1. China 9.5%
2. India 8.2%
3. Ethiopia 8.1%
4. Mozambique 7.7%
5. Tanzania 7.2%
6. Vietnam 7.2%
7. DR Congo 7%
8...
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete nakutakia heri ya mwaka mpya 2012.
Umefanya kazi kubwa mpaka sasa kuongoza Taifa hili na uongozi wako dhabiti umeonekana.
Nina imani mwaka huu mpya wa 2012 utazidi fanya kazi kwa juhudi na maarifa ili kuleta maendeleo kwa mtanzania wa kawaida...
Ninatamani one night stand na mdada yeyote wa JF.
Vigezo
Awe mrembo wa haja
Sitaki virungu japo kwa siku husika atakula good time
No feelings hata kidogo.
PM itumike
OTIS
Baada ya kupigwa suspension na mods kwa kuisema Chadema.
Nimerudi tena hapa jukwaani
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.
Where we dare to talk openly-this the best joke
OTIS
CDM siku zote imekuwa ikilalamikiwa kuwa na chembe chembe za ukabila,urafiki,ukwe,ukanda nk.
Mara nyingi wamekuwa wakijaribu kujibu hoja hizi bila mafanikio.
Mathalani,Mtei kamrithisha chama mkwe wake Mbowe.
Chacha wangwe aliondolewa u makamu mwenyekiti baada ya kuhoji dhana za kubebana kikabila...
Three days. Thats how long it took me to sit down and write this. Every night I spend around 5 hours online trying to run away from this and end up sleeping at 7 am without actually getting the job done. So here I am iPod in my ears, fan blowing in my face, and laptop on my lap getting ready to...
Lil Wayne's new album sold 964,000 copies in its first week on saleLil Wayne has set a new iTunes sales record with the release of his tenth studio album.
Total sales for the American rapper's 'Tha Carter IV' in its first week were 964,000 according to Nielson SoundScan.
But it reportedly...
Teacher: what's wrong?
Johnny : our house is very small, Me, my mum and my dad, all sleep in the same bed. Every nyt my dad asks if I'm sleeping,
I say No then he slaps my face & gives me a Black eye
Teacher: 2nyt wen ur dad asks, keep dead quiet, don't answer.
The following morning Johnnys...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.