Not possibly boss...huo ndio uhalisia.
Security Officer ni overall in charge kumanage security issues za office ikiwemo staff security na premises.
walinzi ni part tu ya security management.
Mie nina Forester SH5 Turbo Charger ya 2010 na haijawahi nisumbua tangu niinunue mwaka jana.
Suala la kuzingatia ni service kwa wakati na kufunga genuine spare parts.
Nashauri uchukue non turbo kama una mishe za kawaida kwani turbo ni extra layer ya presha
Kiukawaida, matumizi ya dwa yoyote au vipimo vinavyohusisha MRI na Xrays huwa vinakuwa na side effects kwenye mwili na kutokupima kuna madhara zaidi kwa mgonjwa kwani huwezi jua kwa uhakika shida ipo wapi
Ila tambua kuwa potential side effects zake zinazidi umuhimu kuliko kutokupima. Kwa...
Hii sio kweli.
Nadhani Rais wa mwisho wa US kutumia Blackberry alikuwa Obama. Blackberry was very secure but that changed walipoanza kutumia android OS.
Recently kuna some admission changes made by OUT
Nina ndugu yangu aliharibu form 4 akaunga unga akapata certificate then diploma kutoka govt college
Later alipoenda Open alinyimwa admission kutokana matokeo mabovu ya O-Level. Imagine hata option ya kufanya foundation course for a year...
Hii sheria nayo sio mbaya ikabakia hapo japo tuwe makini sana na kuendekeza vitu kama hivi
Tusishangae tukapandekeza wachezaji wa Dodoma Jiji wawe wagogo na warangi tu
Naomba twende kwa facts mkuu...nakuwekea hapa link ya DXOMark na screenshot yao kuonesha camera scores.
Naomba na wewe uweke yako twende sawa.....https://www.dxomark.com/smartphones/
Nakubaliana nawe kuwa kwa benchmarks tofauti tofauti, some android phones zinaishinda Iphone kwenye baadhi ya vigezo vya ubora wa picha.
Ubora wa Iphone 13 Pro Max unapatikana kwenye consistency ya camera yake na zaidi ubora wa video. Jaribu kucheki renowned reviewers kama MKBHD, Lew (Unbox...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.