Search results

  1. M

    MZANI WA KUPIMA UZITO NA UREFU NI BEI GANI WADAU??

    Wakuu naomba kujua bei ya mzani mkubwa mpya wa kupima uzito na urefu pamoja na upatikanaji wake.
  2. M

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati kinauzwa Mabwepande kina sqm 447

    Kiwanja kina hati kabisa kinauzwa Mabwepande, kina ukubwa sqm 447.Kinapatikana Mabwepande Bar mpya,kinafaa kwa ajili ya biashara au makazi sababu kipo barabarani. Bei yake ni 11,000,000 anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0677089280
  3. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa utowangoma 35×70 bei 10M

    Kiwanja kinapatikana Utowangoma ni Km 1 toka barabara kuu ktk njia ya kwenda Kambi stoo.Tuwasiliane kama unahitaji kwa simu namba 0677089280
  4. M

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati kinauzwa Mapwepande, Baa mpya 14m

    Kiwanja kinauzwa,kipo Mabwepande (Bar Mpya), km 4 toka Bagamoyo Road Bunju, Kina Sqm 447, Kina Hati (Title Deed). Bei ni Tshs.14,000,000. Kwa maongezi piga simu namba 0677089280.
  5. M

    Wapi naweza pata kifaa/mashine ya kuchajia betri za magari na kwa bei gani?

    Salamu wadau!Tafadhali,wapi naweza pata kifaa/machine ya kuchajia betri za magari hapa Dar na kwa bei gani?Nataka nikafungie kijiwe cha kuchaji betri huko kijijini misaidieni.
  6. M

    Gari kuchemsha baada ya kuwasha A.C. sababu ni nini?

    Ni gari yangu aina ya Clavia Vitz,mara nyingi mida ya mchana joto likiwa kali,nikiwasha A.C gari ina nguruma zaidi then baadaye naona alama kwenye dash board kuonyesha injini imechemka.Nini shida hapo???
  7. M

    Dereva bajaji mwenye shahada ya uzamili

    Hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa vyombo vya habari kutoa habari vikielezea watu mbalimbali ambao wamesoma mpaka ngazi za shahada au uzamili wakifanya shughuli ambazo hata darasa la saba anafanya. Tunadhani wadogo zetu watahamasika kusoma mpaka katika level hizi kwa mazingira haya au...
  8. M

    Natafuta Starter ya Clavia Vitz au kikombe chake tu

    Habarini wadau, nisaidieni kupata used STARTER kwaajili ya Clavia Vitz au kile kikombe chake tu.Nipeni offer jamani.0787504002
  9. M

    Mjane anapataje haki kutumia akaunti za Marehemu Mumewe?

    Wadau kama nilivyoandika, kaka yangu alifariki mwezi wa tano mwaka huu. Sasa mjane ndio ameteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi baada ya kikao cha familia. Utaratibu ukoje ili aanze kutumia akaunti za marehemu ukizingatia ana shida ya pesa.
  10. M

    Napataje simu kwa kutumia IMEI number?

    Habari za leo wakuu,kama nilivyoainisha hapo juu nimepoteza simu ambayo bado mpya siku ya jana,details nilizonazo ni pamoja na aina ya simu na imei number,nimesharipoti polisi tayari.Naomba ushauri wenu kwa jinsi ambavyo nitaikamata hii simu mapema na kama kuna connection za wadau ambao...
  11. M

    Ni kweli kwamba sehemu ya serikali ya Zambia inaendeshwa na wachina??

    Wadau kuna tetesi kwamba sehemu ya serikali ya Zambia inaendeshwa na Chinese,Je ni kweli holi jambo! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Biashara gani zinafaa kipindi hiki cha Corona?

    Habari wadau, kama nilivyoeleza hapo juu. Biashara nyingi zimekuwa ngumu sana hasa kipindi hiki cha Corona. Tushauriane jamani biashara gani zitafaa kipindi hiki. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Natafuta kazi ya kufundisha vipofu

    Habari za majukumu ndugu zangu Mimi ni kijana ambaye nimemaliza Bachelor degree of education in special needs, nimebobea katika ufundishaji wa watu wenye ulemavu wa macho Tafadhali naomba mwenye connection ya shule/taasisi za vipofu wenye uhitaji wa mwalimu wa vipofu anisaidie kupata fursa...
  14. M

    Kiwanja kinauzwa kibamba mji mpya

    Kiwanja kina ukubwa wa 22×20 kipo Kibamba Hospital mtaa wa Mloganzila(Mji Mpya).Bei yake ni 5.5M.Maji ya Dawasco yapo karibu na yanatoka 24/7 na umeme ni wa kuvuta kwenye nguzo, pia kuna umbali wa 2km toka Halimashauri ya Ubungo na 2km mpaka Hospital ya Mloganzila. Sent using Jamii Forums...
Back
Top Bottom