Kiwanja kina hati kabisa kinauzwa Mabwepande, kina ukubwa sqm 447.Kinapatikana Mabwepande Bar mpya,kinafaa kwa ajili ya biashara au makazi sababu kipo barabarani.
Bei yake ni 11,000,000 anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0677089280
Kiwanja kinauzwa,kipo Mabwepande (Bar Mpya), km 4 toka Bagamoyo Road Bunju,
Kina Sqm 447,
Kina Hati (Title Deed).
Bei ni Tshs.14,000,000.
Kwa maongezi piga simu namba 0677089280.
Hii ni mfumo wa fern moja.Kulingana na ufafanuzi wa wadau inawezekana ni tatizo la head gasket au A.C Compressor.Inabidi kwanza nicheki hivyo vitu then nije na mrejesho.
Salamu wadau!Tafadhali,wapi naweza pata kifaa/machine ya kuchajia betri za magari hapa Dar na kwa bei gani?Nataka nikafungie kijiwe cha kuchaji betri huko kijijini misaidieni.
Wakurugenzi taasisi za umma ni kuanzia 15m kushuka,kabla ya Magu walikuwa wanachukua mpaka 30+wengine huko.Jamaa alifyeka,hakuna mtu kulipwa zaidi ya 15m.
Ni gari yangu aina ya Clavia Vitz,mara nyingi mida ya mchana joto likiwa kali,nikiwasha A.C gari ina nguruma zaidi then baadaye naona alama kwenye dash board kuonyesha injini imechemka.Nini shida hapo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.