Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting
nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni
nikiwa na uhakika na...
Imekuwa tofauti kabisa safari hii wanainchi wana supriz gani?
Maana sio kawaida kabisa, binafsi nahisi kuna bomu wanaenda kulipua tar. 22/07/2023
Ngoja tuone!
Huyu dogo achoshangaza , anafokea watu wanaolipwa pesa mingi Sana kwa mwezi anahic wako sawa kumbe ni mbingu na ardhi.
Kikubwa huyu dogo hajui chochote kwenye hii career ya urefarii ulishaona wapi refa Makini akagawa kadi kila tukio, halafu sehemu ya kutoa kadi hatoi
Mm ningekuwa mchezaji...
Wanamichezo wa hapa jukwaani nimekaa nikafikiria maajabu ya mpira wa miguu kuelekea mechi za kimataifa za wababe wa Kariakoo, yaani Simba dhidi ya De agosto na ile ya Al hilal dhidi ya Yanga.
Watu wengi wanampa nafasi kubwa mnyama kutinga makundi, lakini wachambuzi wengi na wanazi wa mpira...
Wakati wa usajiri siasa uongo na kiki kwa viongozi wa timu za mpira hutamalaki.
1. Wakati wa uchaguzi wa kumchagua Rais wa timu hiyo kuna mchezaji alitumika kama kiki ili Rais achaguliwe kwa kishindo. Nilimsikia akisema nimeleta high profile player kutoka Ligi Kuu ya Uingereza timu ya Newcastle...
Hatimaye mechi ya yanga na Al hilal 1st leg imekamilika hapoJana kwa kutoa sare ya kufangana yaani goli 1 kwa mwenyeji na goli 1 kwa mgeni ( sio matokeo mazuri Sana kwa mwenyeji lakin sio mabaya kiivyo katika mpira wa miguu)
Nilichojifunza na kuona katika mchezo huu hasa wachezaji wa kimataifa...
ukweli mchungu!!
Kwenye hizi timu za Kariakoo, hamna hata timu moja itaenda makundi ya CAF, labda kidogo shirikisho!
Labda tena kwa mbinde, naiona timu moja tu tena haipewi nafasi sana ya kufuzu makundi.
Kuna timu inaenda kuchukua aibu ya mwaka (ITAPIGWA KAMA NGOMA IKIWA UGENINI).
Mapovu...
Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili Kagera Leo sababu majeruhi??
Taarifa hizi zinasambaa kwenye hizi zinazoitwa online tv ( rock star tv)
Kama ni kweli daaa hatari sasa hii
Bila kupoteza muda kwa wakaazi wa Dodoma na Singida kama kichwa Cha Uzi kinavyosema ,, tunauza dagaa wabichi Safi waliokaangwa ,,
Kwa yeyote mkaazi wa singida au dodoma na mfanyabishara anayehitaji kutumia ama kuuza kwa rejareja Ni DM tuongee biashara
Dagaa Ni Safi na Ni fresh kutoka ziwani na...
Processor:1.6hz
Ram:4gb
Hard disk:500gb
Betri: 4hrs with internet connection, 5hrs without internet connection.
Bado ina sura Kama mpya haijwahi funguliwa
Bei: 555000/=
List ya hiyo laptop ipo
Location: Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.