Mwanzo Mzuri jiongeze na Sofware hizi 3D Max na Cinema 4D zitakusaidia kwa project zingine kubwa na zina vitu vingi kwa project kubwa na kwa vile una Basic ya Blender hautapata tabu sana kuanza nazo ingawa ziko complicated kidogo hasa 3D Max.
Ukarasa mpya umefunguliwa katika kuutangaza na kusambaza habari za ushoga na wanaharakati wa kutetea mapenzi ya jinsia moja.
Tunajua nguvu ya Hollywood katika ulimwengu wa sasa kwa jinsi wanavoshepu dunia yetu.
Cartoon ya Arthur inayopendwa na sana na watoto karibu duniani kote imekuwa...
Hahhaaaa Kikwete hakukoroma alipotezea kiutuzima naona Ndugai yeye hataki kabisa kuitwa hivo. Jamaa wa Panama nae alicheza sana huu ulimwengu unasiri nzito sana nyingi sana ukipata hata nafasi ya kuzijua 1/10 tuu utashangaa sana jinsi Dunia inayoendeshwa na kikundi cha watu wengine tunaishi kwa...
Assange naona bado anashikiliwa na vyombo vya usalama vya Uingereza. Manning alipunguziwa miaka ya gerezani na serikali ya Obama ila mwezi wa 3 mwaka huu alikamatwa tena sababu ya kukataa kumsnitch Assange kwenye Mahakama kuu ya Marekani.
Mkuu ukipata muda Download Documentary moja kumhusu amehojiwa huyo mwanamke na Assange mwenyewe, utaona kabisa ishu ilikuwa ya kusukwa flani ila jamaa ndio kawa victim. Hawa majasusi wa huu ulimwengu waache tuu wako tayari kuziba siri zao kwa namna yoyote ile. Nilivoicheki ile documentary...
1. RIPOTI YA TRAFIGURA. Mwaka 2009 website ya Wikileaks ilitoa ripoti kuhusu Kampuni kubwa ya mafuta ya Trafigura, wikileaks walifanikiwa kupata ripoti ya mwanasayansi John Minton iliyokuwa inasema uchafu wa kemikali za mafuta ambayo kampuni ya Trafigura imemwaga kwenye pwani ya nchi za Afrika...
Ndoa ya Billionea namba moja duniani mwanzilishi na mmiliki wa Kampuni ya mauzo mtandaoni ya Amazon Jeff Benzos na mkewe MacKenzie Bezos imeingia mchanga baada ya wanandoa hao kuamua kila mmoja afanye yake.
Wameshafungua jarada Mahakamani kwaajili ya kuivunja rasmi ndio hiyo iliyodumu kwa miaka...
Style yake ni kali na nzuri na ni moja kati ya MC Bora kabisa waliowahi kutokea. Album ya Victory Lap 2018 ilikuwa katika tuzo za Grammy category ya Album bora ya Hip Hop ya mwaka. Kinachimfanya huyu jamaa asijulikane sana kazi zake ni sababu ya kukata kusaini na major labor yoyote ambazo huwa...
Ermias Davidson Asghedom kijana wa miaka (Agusti 15, 1985 – Mach 31, 2019), akijulikana kwa jina la sanaa kama Nipsey Hussle. Ni msanii wa sanaa ya muziki wa kufoka foka (Hip Hop) kutoka Calfonia, Marekani.
Mtoto wa mhamiaji wa Kielitrea na mama mwenye asili ya Mmarekani mweusi pia Baba wa...
Ermias Davidson Asghedom kijana wa miaka (Agusti 15, 1985 – Mach 31, 2019), akijulikana kwa jina la sanaa kama Nipsey Hussle. Ni msanii wa sanaa ya muziki wa kufoka foka (Hip Hop) kutoka Calfonia, Marekani.
Mtoto wa mhamiaji wa Kielitrea na mama mwenye asili ya Mmarekani mweusi pia Baba wa...
DW: Kila 20 Machi ni siku ya Furaha Duniani kwa mujibu wa umoja wa mataifa hizi ni nchi 10 ambazo watu wake wanafuraha Zaidi duniani:
1. Finland
2. Denmark
3. Norway
4. Iceland
5. Uholanzi
6. Uswisi
7. Sweden
8. New Zealand
9. Canada
10. Austria
Hizi ambazo watu wake hawana furaha:
147. Haiti...
Duh hii nimeiona leo nikiwa kwenye Bus asubuhi. Nikadhani kuna mtu kafariki kwenye hiyo ajali na jeneza ni kwa ajili ya kubeba mwili, kumbe kuna mwili unasafirishwa na kuna mtu nae kavuta. R.I.P
Sikuhizi nafanyaga mambo ya kunifurahisha tuu aisee maana kupotea ni dakika tuu aisee. Yaani kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.