Kwanza tafuta watu wazima walio karibu na mzazi mwenzio na hasa wale wanaojua kuwa mlikuwa katika mahusiano. Jatibuni kuyaongea kwa busara zao inawezekana akawasikiliza na akabadilika.
Ikishindikana basi fuata tu utaratibu huo wa kwenda ustawi wa jamii kama Mobeto. Lakini usiwe mkali (harsh)...
Rais John Pombe Magufuli amemteua Dr. Slaa kuwa Balozi muda huu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 23 Novemba, 2017 amemteua Dkt. Wilbrod Peter Slaa kuwa Balozi.
Dr Willibrod Slaa ataapishwa baada ya taratibu kukamilika.
Dk Slaa azungumza na...
Mamlaka ya mapato Tanzania inadaiwa kuifungia Radio Free Africa ya Mwanza inayomilikiwa na Antony Dialo kutokana na kudaiwa kodi kubwa.
Ofisi za Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki vituo vya Star Tv, Radio Free Africa (RFA) na Kiss FM zimefungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
Rais Magufuli amekubali kujiuzulu kwa Jaji mwingine leo hii Jumanne 20 Juni.
Jaji Mwendwa Judith Malecela amekubaliwa kujiuzulu kuanzia leo. Sababu haijasemwa na Ikulu katika taarifa yake leo hii.
======
IKULU, DAR: Rais Magufuli, ameridhia ombi la Jaji wa Mahakama Kuu Mwendwa Judith Malecela...
Dr Mkumbo na Dr Semakafu! Sasa wamejidhihirisha sura zao halisi zilikuwa ni zipi tangu ndani ya upinzani (kwa Dr Kilila) na kwenye Bunge la Katiba na taasisi yake ya Ulingo (kwa Dr Semakafu).
Asante JPM kutuonyesha ukweli wa upande halisi wa shilingi kwa wasomi hawa wawili.
Aaache kulialia. Hajazaliwa kuwa mbunge maisha yake yote. Apanguse mchanga ili aendelee na safari akatafute kitu kingine cha kufanya. Maisha hayajasimama yapo tu na inabidi yaendelee kuwapo.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA KIFO CHA FARU JOHN
*Ni ya uchunguzi uliofanywa na Mkemia Mkuu wa Serikali
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea taarifa rasmi ya uchunguzi wa kifo cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, Prof. Samwel Manyele ambaye...
Unaweza ukarudi hapa tena ukayarudia haya maneno yako? Maana Bosi mkuu kawatoeni nishai wote mliokuwa mnamsagia nazi Ney na skumbe hata Rais anaupenda wimbo huo.
Lakini akivunja bunge ni kwamba lazima nae anaachia madaraka na uchaguzi unakuwa ni wa Rais na Wabunge. Je, ana uhakika yeye wa kurudi madarakani ukiitishwa uchaguzi mpya leo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.