Search results

  1. I

    Kwanini kamati ya maadili ya bunge kila ikimuita mtu lazima imkute na hatia? This is ridiculous! Kuna haja gani ya kumuita kama Spika ameshaamua!

    Kamati ya maadili haina maana tena. Ili inafanya kama Mahakama na mahakamani mtuhumiwa anaweza shinda au kushindwa. Sasa sijawahi kuona mtu anaitwa halafu anashinda, sasa ile ni kamati ya maadili kweli au ni rubber stamp tu ya Ndugai?
  2. I

    Mwidiwe mwese!

    Moyo Wenye Huruma Ni dawa Kwa Wenye Machozi, kila aonaye Thamani Ya mwenzake Hupata thawabu ktk ufalme wa Mungu, Najua Si rahisi Kuishi Bila Kikwazo Ktk Maisha Napenda kukuomba radh kwa lolote nililo wahi kukukosea au kukuudhi maana naelekea ktk mwezi mtukufu wa ramadhani, kama huna kinyongo...
  3. I

    Kwanini Serikali inatumia nguvu nyingi sana kutangaza kile wanachoita mafanikio(tunatekeleza)? Au kinyume chake ndo sahihi?

    Kipindi cha jk sikuwahi kusikia majigambo mengi sana na sidhani kama hiki cheo cha msemaji mkuu wa serikali kilikuwepo kama kilikuwepo basi very strategic na scienrific siyo hili lijamaa la leo. Yaani hata wakizindua choo lazima wasema tumetekeleza. Sijawahi kuona serikali ya ajabu kama hii...
  4. I

    Things are still falling apart under this dictatorial regime!

    Wimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii...
  5. I

    Rwanda now the first ecomically in africa

    #Rwanda Paul Kagame, on Radio Rwanda: "If our country ranks first in Africa, and the whole world is watching us today, it is not because we have the Vatican, the Kabba, the White House, the Elysee or the Taj Mahal here at home. No more because you have a certain Paul Kagame as Head of State...
  6. I

    Zitto Kabwe: Tamko la jana la Serikali ya Tanzania na Barrick Gold lililenga kupoza bei ya Dola, lakini soko limegoma...

    Somo kidogo: Kwenye uchumi matamko na hata vifo wakati mwengine huweza kuchangamsha bei, haswa bei za fedha za kigeni au bei za hisa. Tamko la jana la Serikali ya Tanzania na @BarrickGold lililenga kupoza bei ya Dola. Lakini soko limegoma na leo dola imefungua na shs 2415 ⬆️. Watanzania...
Back
Top Bottom