Huko ulaya ndio msbingwa wa machafu na uhuru wa kuutumia mwili mtu atakavyo.
Kwa nini wanamsokota sana huyu jamaa wakatii wao ndio wapiga debe wa haya mambo machafu ya kutafunana ?
Haya ni madai hewa tu ambayo hayaathiri chochote kwangu.
Kama wewe kazi yako ni kusapoti kila waisilamu wanachofanya mpaka wakifanya ushoga unasapoti sawa.
Kama wewe unasapoti kila wanachofanya waisilamu mpaka wakilawiti watoto katika madrasa sawa.
Kama wewe kazi yako ni kusapoti kila...
Haya ngoja tuone nani ni mvivu,ni bora niwe mvivu wa kusoma kuliko kuwa mvivu wa kuelewa.
Sijaona,huwenda lipo kama unavyoashiria ila mimi sijaona kwa kweli,kama wewe unalo andiko ambalo ni khaaswa. limekuja kukemea jambo hilo utuwekee.
Usije ukanijia na andiko ambalo ni la ujumla (aaamu) kwa...
Kitambo sana nilikuwa sikubaliani na watu wanaoniambia eti nisile chumvi nyingi,nilihisi mbona chumvi ni amazing tu na haina shida ?
Eti wanasema chumvi inaweza kuleta pressure ila mimi sikubali bado naendelea kupigs chumvi kama kawaida.
Naam ngoja nikusome zaidi nione wapi nimechanganya mambo.
naam haswaa.
Naam naam hakika.
Naam hakika ndugu yangu ndivyo ilivyo.
Hapa ndipo shida inapoanzia,na nitakujibu katika nyanja mbili.
1.KiDINI : unapokuwa umefunga alafu mtu akala unamuona basi ELEWA kwamba mtu huyo hakunyimi uhuru wa...
Kuna tofauti ya imani na ujinga.
Hata waisilamu magaidi wanaojiripua wale hutuona sisi wenzao ambao hatujiripui kwamba tuna imani dhaifu,rejea mawaidha ya aboud rogo namna anavyotunanga waiisilamu ambao hatujiripui.
Hivyo huwenda ukadhani ni imani kumbe ni ujinga
Qurani imefaradhisha jambo hilo kwa waumini yaani waisilamu walioiamini dini,na wala Qurani haijamtenza nguvu mtu mwingine kwamba ni lazima asile na hata hadharani.
Qurani iliyokuamrisha kufunga wewe muisilamu wapi Qurani hiyo imemkataza asiye muisilamu kula hadharani,aya ipi ?
Ndio Maana...
Hii ndio mpya naiisikia leo kuhusu mimi 😂😂,kuna file langu unalo ambalo mimi silijui hongera sana.
Jambo la msingi ni kujibu hoja yangu na sio kuanza kunipakazia vitu ambavyo havina ushahidi wowote.
Ni kweli na ndio maana hata mimi sijawapangia nini wafanye,au nimewapangia wapi ?
Sasa kitendo cha wao kuingiza pombe hakituzuii sisi kusema pombe haifai katika uisilamu.
Wao acha waingize pombe ila na sisi tutaendelea kuhubiri kwamba uisilamu umekataza pombe.
Wao acha waendelee kuzuia watu...
Tofautisha kati ya kitendo ambacho ni halali kukifanya iwe sirini ama hadharani kama kula chakula,kunywa maji,kufua n.k
Na kuna vitendo ambavyo ni halali sirini lakini hadharani havifai kama vile kuvaa kichupi kama unavyosema.
Kula ni kitendo cha halali iwe hadharani ama sirini.
Mimi nazungumzia uisilamu sijazungumzia nchi husika.
Makusudio yangu ni kufikisha ujumbe kwamba sijaona andiko katika UISILAMU(sio katiba ya watu fulani)
Andiko langu liko wazi kwamba sijaona katika maandiko ya kiisilamu katazo la kula mbele ya aliyefunga na kwmaba eti kitendo hicho ni dhambi,sijaona katazo hilo.
Mbona wewe unaitaja zanzibar wakati andiko langu nimetaja uisilamu mkuu.
Ni vizuri tukawa tunaelewa makusudio ya maandiko,sio vizuri...
Andiko langu linahusu uisilamu na sio nchi fulani.
Ujumbe wangu ni kuwa sijaona katazo la uisilamu wenyewe likisema kwamba ni dhambi kula mbele ya mtu aliyefunga.
Elewa ninaposema uisilamu,sijataja nchi.
Kama kuna Nchi inakataza ijue tu keamba inakataza kwa utashi wake na sio sheria ya Dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.