Mambo vipi wakuu?
Nakumbuka kuna kipindi fulani miaka ya zamani kidogo serikali ilizuia buses zilizoungwa chassis zisioperate maana sio salama na ni kweli sio salama kabisa, ila sikuhizi kuna mtindo wa kuunga chassis na kuongeza tag axle kwenye bus kibao tu lakin kama imepotezewa vile...
Hakuna gx100, gx100 zote zina 1g-fe na zenye 1jz na 2jz ni jzx100 tena hiyo ya kwako sio kabisa maana zenye 1jz ni roulant edition ndo zina 1jz gte na hazipo hivyo kama hii yako, so yako inawezekana ni 1jz ge ni jzx100 ila non turbo
#HomeGarageTz
we jamaa[emoji35] JF mmezidi uongo sasa khaah....et at least engine ya 6km/l iv uko serious wewe......kwa uzoefu wangu katika magari gari ya 6km/l inaohopeka sana coz fuel consumption inaonekana juu asa we umekosa vya kutudanganya ndo utuambie kuwa una 2.5km/l kadanganye watoto wa vidudu uko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.