Hata umlete KIKWETE wanaigunga tuko mbele kusaka mabadiliko.
Hatuangalii cheo wala sifa tunataka Ku-clean z so called MAGAMBA.
ZITO IS COMING WITH--------------
PEOPLE'SSSS POWERRRRRRRRRRRRRR
<br />
<br />
HUYU NI MUONGO MKUBWA HANA LOLOTE,KAMA YUPO TAYALI KUMWAGA DAMU YAKE MBONA MALA ZOTE AKIANZISHA ZARI YEYE ANAPONA WANAKUFA WANANCHI? AACHE KUHADAA WATU KWA KUTAFUTA SIFA UJIFANYA MWANA MAPINDUZI WAKTI ANAGANGA NJAA!
<br />
<br />
Kama wewe hujala njoo ule huku Igunga...
<br />
<br />
Hapo mkubwa imekaa vyema katika kutupa picha za vivutio tunavyojivunia Tz. Endelea kuwakilisha huko mbugani ili mimi naenda Igunga kushuhudia siasa.
<br />
<br />
Sidhan kama uliaga MILEMBE!!!!
Mi mwenyewe nimetembea kwenye hiyo lami ambayo ni matokeo ya pesa zetu watanzania, hivyo kwa kuwa Mkapa kaja kwetu atatuambia kama hiyo lami wamiliki halali ni WATANZANIA au MAGAMBA.
Papa d nnachofaham hususan siasa kwa mimi ni kwamba, hawa cuf wamepagawa na ushindi wa chadema ambao mpaka sasa uko wazi. Badala ya wao kutekeleza azma ya upinzani kwa kumchambua ccm ambaye ndo chama kilichoko madarakani anafikia hatua ya kumpinga mpinzani mwenzake Chadema, hii hali inaonesha...
Hivi wewe ni mwanaume au mwanaume jina?
Mtu keshakubali unategemea akwambie utakuwa wa permanent? Mkubalie akupe hiyo mara moja utaona mwenyewe kama hajaendelea kukutafuta.
<br />Hawakataliwi kujiunga ila wao ndo hawataki kutokana na sera za chama kutokuwaridhisha[hazitekelezeki]
Jambo jingine ni uhuru wa kidemokrasia. Hivyo msomi yeyote anauhuru wa kisiasa hata kama anasoma kwa ufadhili wa serikali ya ccm. Big up wasomi wote.
"PEOPLE'S POWER"
<br />
<br />
<br /> Safari hii Igunga hatuiachii mimi na wenzagu wana Igunga.Mungu amesikia kilio chetu wanaigunga. Huyo anaedai wasomi wapunguze ngono ajiulize kama alishawafundisha wakaelewa watawezaje kuacha bila kufundishwa? Hafu inaonekana ni kigogo wa chama na imemuuma sana wasomi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.