Kuna baadhi ya wanaume wanafikiri mapenzi ni kitandani tu, wanashindwa kuwaandaa wake zao kisaikolojia kabla hata ya kufika kitandani. Haijalishi mmeishi katika ndoa kwa muda gani lakini kama upendo kwa mke upo hakutakuwa na udhuru huo. Imagine umetoka kumgombeza mkeo au umemjibu vibaya then...
Pole sana, ila ninajiuliza kwa nini nyie wanaume huwa mnakuwa wagumu kusamehe pindi wake zenu wanapocheat? Wewe hujawahi kucheat? Pia jaribu kuangalia sababu za mkeo kucheat.
Sehemu nzuri ya kuanika pichu ni kwenye kamba juani ili ikauke vizuri. Kama yupo kwenye nyumba ya kupanga nadhani haileti picha nzuri kuziacha wazi bali anaweza kuzifunika juu kwa kutumia kanga nyepesi na kuzibana vizuri na kibanio. Si vizuri nguo za ndani kuonekana ovyo ingawa ni muhimu zikauke...
JF inaweza kuwa inasaidia kuongeza mtandao wa wapenzi wenye wapenzi walio na wapenzi wenye wapenzi. Amekusaidia kuvunja mtandao huyo na inaonekana haikuwa mpango wa Mungu.
Mada yako nimeipenda kwa sababu imenielimisha. Ni kweli familia nyingi zenye uwezo mkubwa kifedha haziwatendei haki watoto. Mtoto mpaka anaingia form one hawezi hata kufua nguo zake za ndani, za shule ndio usiseme. Hii ni kwa sababu akiwa nyumbani vyote hivyo vinafanywa na housegirl. Hata kama...
Umenena vyema mkuu, kweli ndoa ni safari ndefu na si lelemama .Cha ajabu ndoa nyingi za siku hizi zinavunjika hata kabla ya miaka 3 waliyopaswa kuenjoy.
JF kuna mambo jamani, u have made my day. Halafu shost unaweza kuwa mwandishi mzuri wa hadithi nimependa uandishi wako unaleta mvuto. Ndoa haina formula kila mtu ana namna yake ya kuishi na mwenzi wake. Mtajuana hukohuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.