Wakuu msaada,
Kwa siku ya tatu sasa kila nikipiga simu mtu akipokea tu huwa inaniletea hayo maneno hapo juu nimejaribu kuangalia kama kuna mtu anafuatilia simu yangu lakini imenionyesha kwamba not forwarded.
Shida inaweza kuwa ni nini?
Kuna wakati pia naweza kumpigia mtu akawa hanisikii kwa...
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi
Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini...
Maisha ya watanzania wengi ni magumu sana kwa wakati huu
Upatikanaji wa umeme wa uhakika unasaidia angalau kwa kiasi fulani kuganga hela za kuendesha maisha kwa shida shida hivyohivyo
Tunapokuwa na umeme wa kubahatisha unatuweka kwenye hali gani
Lakini mbali na watanzania maskini ni hasara...
Salaam wakuu,
Nimejaribu kutathmini kuhusu hii tozo na wataalamu zaidi watusaidie.
Nimeskia takwimu zikisema kuwa kwa siku inafanyika miamala milion kumi nchi nzima kwa mitandao yote ya simu sasa tuassume kwamba katika miamala yote hiyo miamala laki mbili tu ni ya shilingi laki moja yani...
Kingamuzi kimeisha leo nimewasha TV imeniandikia hivi kila nikiselect hainiletei matokeo naombeni msaada wakuu
Ni dstv
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?
-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.