Ndugu watanzania bei ya mahindi mwisho wa Feb 2023 ilikua kwa jumla 1, 120 kwa Dar Es Salaam lakini bei ya leo 6 March 23 yamepanda kufikia 1, 330 kwa kilo moja.
Ongezeko hili ni hatari kubwa kwa wafugaji wafugaji wa kuku na wengineo kwa sababu ongezeko hili ni sawa na 5, 000 kwa mfuko wa...
Kuna thread nimesoma hapa JF nimebaki kucheka sana.
Ilikua kuhusu ubora wa elimu Tanzania mathalani elimu ya juu.
Mimi nimesoma sua degree ya Kwanza, Boston USA degree ya pili na sasa nasoma PhD China (China agricultural university).
Katika michango mingi niliyosoma reality ni ndogo kuhusu...
Imedhihilika wazi na bayana kuwa maneno ya ANNE MAKINDA kuwa MOSES MACCHALI ana laana ni ya kweli baada ya kumtwanga MITAMA, MATEKE, NGUMI NA MAKOFI baba yake mzazi!
Mzazi wake huyo ni mnywaji wa pombe tangu Mbunge Machali hajazaliwa ila anataka kumkunja sasa hivi.. wahenga walinena...
Huyu bwana namjua vzr sana kwao ni mkoa wa kigoma wilaya ya buhigwe kata ya mnanila kijiji cha nyakimwe mbunge wake anaitwa Albert Ntabaliba Obama yule mwenye bondeni bar za kulikuwa na river between bar..
Amesoma sekondari MILAMBO TABORA
udsm bachelor masterz zimbabwe phd uk...
Acheni...
Huyu mbunge alikuwa na hela za kutoa wapi wakati alikuwa ni masikini wa kutupwa na baba alikuwa mlevi balaa MEDICAL ATTENDANT wa kuamka na viroba walikuwa wamepanga kajumba kabovu nyuma ya kasulu sekondari
Kwanini mtu asikubali kuwa ubunge ilikuwa ni hasira za wanakasulu baada ya ccm kuweka...
HII NDO AINA YA WAALIMU TZ TENA HILI LIALIMU LINATAKA DARAJA LIPANDE MWAKA 20015 NDO MWAKA GANI?
STRESS ZA UALIMU ZITAKUUA WEWE UTAFUNDiSHA mwanafunzi gani mpaka afaulu a.k.a 20015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.