Binaafsi namkubali sana kibonde ila anafika sehemu analewa sifa na tatizo lake pseudo knowledge aliyonayo ktk mambo mengi so kama unaamini ni mtu anayefaa anafaa kuongeza ujuzi wa kitaaluma.
Mimi ni miongoni mwa watu wasiokubaliana na censorship ila nadhan its right time kujengea uwezo wabongo...
mimi nataka kutofautiana kidogo na nyani ngabu hata kama umekunya maji ya ladha ya clouds lakini kawaida kitaalam ukikoment kitu usiwe na affiliation na chombo husika kwa mfano kosa nilionalo mimi kwa kibonde si utangazaji bali ni kuongea as if anajua anchoongea wakati hajui lolote ili uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.