Habari za jioni wakuu,
Nauza begi la laptop jipya halijatumika kabisa. Nipo DSM
Bei: 30,000
Value price estimated between 70,000 - 100,000
PM if you need. Photos below
Wadau,
Kuna vifaa vya network vinauzwa. Vipo Zanzibar (Unguja), vilibaki wakati wa kufanya kazi fulani hapa sasa hatuwezi kuvirudisha Bara tena. Kama unavihitaji, please let me know. Bei ya kutupwa.
Contact: PM
Habari wanajamvi,
Nauza subwoofer ya gari (deochestra). Ina mziki mkubwa sana.
Ipo tayari kuunganishwa na radio yeyote ya gari na kuanza kutumika.
Bei: 100,000
Location: Dar (Posta)
Contact: PM
Wadau habari,
Naweza pata eneo la wazi, au mahali pa kuuzia chakula maeneo ya kinondoni?
Angalau sehemu ya kuweka meza 10 za chakula, kwenye hii barabara yanapopita mabasi ya makumbusho - stesheni....
Kama una eneo, tafadhari karibu PM.
Habari wadau,
Naombani msaada katika hili.
Kama nilimkopesha mtu hela by word of mouth bila kuandikishana popote na sasa ananizungusha kulipa, je naweza kumfungulia kesi ya madai?
Nilifanya bank transfer ila hatuna mkataba wala mashahidi. Ilikuwa ni kati yetu wawili tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.