nauliza kuhusu ile interview ambayo ilikua kama kongamano la wenye degree na wasio na kazi, lililofanyika tarehe 7 mwezi huu, pale kurasini. Hawa jamaa hawajaanza kuita?
hii ndio Tanzania, tunaadhimisha miaka 50 ya UHUNI bila hata ya kuwa na uhuru wa kujiexpress! Hao Al shaabab wamehamia Tanzania lini au ndo propaganda za kutuzuia kusambaza sumu za ANTI-DOWANS tu. Wana intelijensia watakuepo kutulinda.
kurudi ikulu hakumaanishi moyo wa upendo, bali ni kutaka kuonesha kama anajali, angetuma HELICOPTER mapema (alizofanyia kampeni) kidogo ningesema anajali waTZ.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.