Hapo solution ni moja tuu kutumia Money Laundry way, Kuna watu wako kwenye hii business for years na kila nchi wapo.
Hao unawapa mzigo wanachukua % yao pesa yako unaenda kuichukua unapotaka. Mfano unaweza ambiwa kila wiki utakua unaenda kuchukua milioni 100 cash let say kwa mchungaji fulani...
Mkuu hivi kwa nini ukanda wa Mbagala, Vikindu, Kisemvule hadi Mkuranga na kuendelea hupenda kuuza viwanja kwa Futi na sio Mita?, hii hupelea viwanja kuwa vidogo sana, kusongamana na hata wanao-nunua kutofanikiwa kupata hati kwa wakati.
Mkuu location ni mkoa gani?, Pia unaweza kuweka cost za fundi pekee?, je fundi wako ni mtalaam na ana-uzoefu wa kujenga hidden roof kuanzia msingi hadi kuezeka? danymTZ
Daah huyu mwamba kanifanya nicheke sana kwa mshangao wake.
All in all zote ni changamoto katika maisha chamsingi ni kuendelea kumshukuru Mungu na kusonga mbele huku tukiendelea kuomba rehema zake.
Chai hii, uko kwenye daladala mida ya saa moja usiku, umeenda ukalala mpaka saa mbili na nusu wakati una-apointment na fundi mwenzako saa 12 jioni.
Timelines haziendani na story.
Tuliosoma SAME SECONDARY na kula sana totoz za MASANDARE Vidole juu.
Mdau umenikumbusha mbali sana, hapo MASANDARE ni kijiji maalum cha ku-hudumia wa wanafunzi wa SAME SECONDARY.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.