Search results

  1. mbalamula

    Nafasi za Kazi chuo cha Ardhi

    Natumaini wote turn wazima WA afya. Naomba kujuzwa je chuo cha ardhi wameshaita watu kwenye interview au bado kwa nafasi za afya? Nashukuru kwa ushirikiano wenu
  2. mbalamula

    Mishahara ya NIMR

    Habari zenu wanajukwaa, samahani naombeni msaada wenu wa kujua kiwango cha mshahara kwa mtu anayeanza akiwa na degree moja kwa NIMR ni Tsh ngapi. Pia mshahara wa kuanzia wa tutorial assistant ni Tsh ngapi. Ninahitaji kufanya maamuzi niende wapi bado Sijajua hilo la mshahara vigezo vingine tayari...
  3. mbalamula

    Master in tropical disease

    samahani wapendwa naomba kujua mtu akisoma master in troppical disease atafanya kazi zipi na anaweza kuajiriwa wapi?
  4. mbalamula

    Skills to include in cv

    habari zenu wanajamii?Naomba mnisaidie ktk hili,je naweza kuandika kwenye CV yangu ujuzi/elimu ambayo ninayo ila sina cheti kwa sababu ya kututolewa ktk taasisi husika mfano kufundisha temporary ktk shuke ya kata na sikupewa certificate of appreciation?Natanguliza shukurani zangu kwenu.
  5. mbalamula

    Vyuo vya nje ya inchi

    Natumaini wazima wanajamii, Naomba msaada kwa anyejua vyuo vya UK,Malaysia,USA au India ambavyo vinatoa scholarship kwa kozi za online. Nashukuru kwa masaada wenu,mbarikiwe wote.
  6. mbalamula

    Kozi za kusoma online

    Habari wajamii? Samahani naomba msaada kwa anayejua chuo cha hapa Tanzania kinachotoa kozi za MOnitoring and Evaluation au Project management hata kwa njia ya net naomba link ya chuo cha uhakika sio matapeli AHSANTENI
  7. mbalamula

    Msaada jamani

    Poleni na kazi wanajamii, Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu dipolama in environmental health science natafuta kazi za muda kwa yoyote anayeweza nisaidia anijuze jamani maana nimechoka kukaa home.Nina uzoefu wa kufundisha na nimewahi kufanya kazi kama medicalrepresentative ktk kampuni za dawa za...
  8. mbalamula

    jamani naomba mnisaidie

    Mimi nimepangiwa chuo cha UDOM koz ya nursing ila mkopo hawajanipa na home hawawezi nilipia na vigezo vya mkopo ninavyo nifanyeje,nimekaa home since 2009 kw issue kama hiz?
Back
Top Bottom