Ndg hivi unakumbuka kipindi cha mgao mkali wa umeme watu/ama ndg zetu/ama watz wangapi walipoteza maisha kwa upuuzi na tamaa za viongozi yaani mikataba ya wizi aka Richmund,dowans n.k hivi wahusika unawajua ama unajitoa akili,kama hujui basi ilikuwa ni serikali ambao tumewapa dhamana ya...
Huo ni mtazamo chama hakiwezi kusambaratika,kupasuka wala kusinyaa sanasana itakuwa kinyume cha hayo.
Ni nani atakayekubali kuongozana na kiongozi msaliti yaani ufuatane nae ukafie jangwani!?????maana lazima pia mbeleni huko awasaliti pia.
Waombe radhi kama hawataki waondoke na wasijidanganye...
Ni kweli na mimi nawaunga mkono huyu mzee hata mimi nilidhani ni mchafu kama ilivyokuwa inaelezwa lakini tumeyasikia yale yaliyo nyuma ya pazia hata kama ni kwa kiasi kidogo.
Jamani let us be fair ni viongozi wangapi waliopo madarakani ambao hawapigi videal ama madeal ya hapa na pale kwa hakika...
wewe askari gani anaogopa changamoto hao el shabaab wanataka maandamano ya amani ya watz yanawahusu nn hawa askari hawatufahi kama askari badala ya kuhakikisha ulinzi yeye anaogopa!!!!
:embarassed2: sekta ya kilimo ina ajiri asilimia kubwa ya watz ajabu ni kwamba sekta hiyo ss hv ndo imekuwa sehem ya watu kujipakulia kwa kisingizio cha kilomo kwanza!!
:embarassed2:Jamani sasa huyu UTOH mbona kajialibia kumbe hata mitihani ya CPA tunayofanyaga huwa wanashauriana regardless of the point archived yaani kweli SHAME ON HIM!! kwa kweli INTEGRITY YA CAG kuwa doubted ni big scandal sijui atajisafisha vipi? HATA HATI CHAFU ZA BAADHI YA WILAYA...
NI KWELI ILA HAIJALISHI NGUDU YANGU MUNGU WETU HANA UBAGUZI,HAWAI AMA KUCHELEWA REHEMA ZAKE NI KWA KILA MTU BILA KUJALI ILA NI KWA WOTE WAMCHAO NA KUMWAMINI KATIKA KWELI!
bado nasisitiza hakuna kilichowahi kushindika kwa Mungu,hakuna kinachoshindikana na hakuna kitachoshindikana!!!
Jamani mi nina imani kuwa wakati akiendelea na matibabu india ndugu,familia na marafiki na sisi wote tunaompenda tumwombee na ndugu wampeleke nigeria kwa mtumishi wa mungu t.b joshua hakuna kinachoshindikana kwa yesu!!
Kama familia,ndugu na marafiki wanapitia kwenye huu mtanda plse plse plse...
.............. Huyu raisi wetu kwa kweli mi simuelewi anaongea na wazee na wazee na wazee ( ni vizuri) ila wazee hawa wameishi ndani ya katiba iliyopo hii katiba mpya ni vijana wa sasa na wajao suala la kuongea na wazee halina mantiki kwa kipindi hiki kwani nchii ni ya wazee anatumia wazee...
Na mimi naunga mkono hoja zenu aisee hivi haya makundi mengine vipi mbona kimya?trade unions ( ni muhimu sana tukapata opinions zao ni muhimu sana sababu lina watanzania wengi ukiachilia ambao hawapo kwenye sekta rasmi )!!!!
HII NCHI SIJUI LINI TUTAPATA UHURU?
Ni kweli tbc hata mimi nimenote hii ila wajue kuwa ccm haitakuwapo milele na hawana uhakika kama hata kesho,wiki ijayo,mwezi ujao,mwaka ujao ama miaka ijayo hiyo ccm itakuwepo wanatakiwa watende haki hao wanaowabagua wanaweza kuwa ndo viongozi wao sasa sijui wataacha kazi ama??wajirekebishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.