Ni ujumbe muhimu sana huu kwa wenzetu wa law enforcement. Tahmeed zote, zinazotoka Mombasa na zile za Nairobi wazichunguze kwa makini sana. Safaari zao nyingi zinaharufu ya either wahamiaji haramu au miraa na mambo yanayofanana na hayo. Tahmeed zimewahishikwa na hizo vitu na bado upo uwezekano...
JIlizishe kama hauingizwi ktk mtandao wa biashara ya kusafirisha binadam. Wengi wameenda nchi za watu kwa kisingizio cha ndoa, yaliyowakuta huko ni tofauti na walivyoahidiwa na wala siyo kama vile walivyotarajia. Akili mukichwa!!! Kama umeunganishiwa huyo mchumba ni mbaya zaidi....
Basi ondoeni kipengele cha tiketi ya kwenda na kurudi hapo ili msichanganye waombaji. Wajue wakiwa na hicho kitambulisho cha taifa inatosha. Inaleta Confusion!!!!!
Umewahi kukata ticket ya ndege kwenda nje ya nchi bila passport? Katika kujaza taarifa za kupata ticket ya ndege kuna kipengele cha namba ya passport ya msafiri. Sasa nyie mnavyomtaka mtu awe na ticket ya ndege ndipo aombe passport kweli mnaonesha uelewa wa mnachokiomba????? Ebu kuweni serious !
Inasikitisha sana kama walikuwa wakifanya hayo manjonjo huko nyuma na abiria hawakuwahi kuwakemea au kuwareport popote. Abiria wawe na utamaduni wa kukemea na kuwareport madereva wanaoonesha tabia zisizofaa wawapo safarini. Inauma sana kupoteza maisha ya watu. RIP Marehemu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.