Ninataka kujua wana wajumbe nchi kuchoma pesa ya nchi ingine kwa madai ya kulinda pesa ya nchi dhidi ya nchi ingine...wanauchumi na wataalami Wa mambo ya fedha na utawala hebu lidadavueni hili
Kweli na sasa naanza kuamini kuna vitu vinaakujitokeza sasa....hili sakata LA KOROSHO lina SURA nyingi....mkulima,dalali,mfanyabiasha Wa kati,serikali,utaifa,fedha,Soko LA KOROSHO, KOROSHO YENYWE....
Hiii TAIFA STARS cjui ni namna gani..timu Leo haikuwa hata haieleweki inacheza kwa namna gani..hakuna flow of play kabisa..Lesotho ni team nzuri ila nadhani imefanya juhudi kusoma michezo ya TZ mbalimbali....team yetu Leo haikuwa ktk mchezo kbsaaaa.....hongera LESOTHO , TAIFA STARS TUACHE YA...
Hiii TAIFA STARS cjui ni namna gani..timu Leo haikuwa hata haieleweki inacheza kwa namna gani..hakuna flow of play kabisa..Lesotho ni team nzuri ila nadhani imefanya juhudi kusoma michezo ya TZ mbalimbali....team yetu Leo haikuwa ktk mchezo kbsaaaa.....hongera LESOTHO , TAIFA STARS TUACHE YA...
Hii ndio hali ya tshs yetu...inazidi kuporomoka dhidi ya US DOLLAR....Je ni nini hasa kimekolezea kuporomoka kwa shillingi? Ni uchumi ama nchi za wafadhili kusita baada ya tamko la EU almaarufu UMOJA WA ULAYA?
Libyan state television has aired a video ofMoammar Gadhafi's son Saadi in which he apologized to the nation from prison.
"I apologize to the people of Libya and the brothers in the Libyan state for the disturbance and destabilization I have caused in Libya, and I admit those were wrong things...
Samuel Sitta sii jina ngeni ktk jukwaa la siasa za Tanzania.ktk kipindi hiki cha katiba wananchi wengi sana walikuwa na shahuku ya kujua nani ataongoza vichwa 600+ ktk mjengo WA dodoma na wengi hata baadhi ya wajumbe waliouwa wanatamani sana Samuel sitta awe kiongozi WA bunge la katiba.
Sitta...
Miaka 50 ya uhuru wa tanganyika na c tanzania bara ni wa mizengwe.baada ya uhuru...wananchi walikuwa na ari na nguvu ya kutaka kujenga nchi yao,walikuwa na malengo ya kizazi kijacho kipate kuwaenzi....watanganyika wa enzi zile tutapata kuwakumbuka sana.esp wana tanu pia popote mlipo hongereni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.