Traffic cases zipo kila siku .....we utakuwa mtumiaji wa frequent kwa hicho kipisi....hai-himo kwahyo huwezi kuwakimbia kama umewakariri ivoo.....wewe la Muhimu kamilisha kila kitu ktk chombo chako,kama speed limit ni 50 nenda 45-50....vaa mkanda zingatia mistari....uone kama watakuwa na time na...
WanaJF leo tunaona badiliko la bei mafuta hapa Tanzania,na badiliko hili ni kutokana na RUZUKU iliyotolewa na Mhe.Rais SSH. Sasa EWURA wakija na badliko la bei lwa kila mwezi kutokana na soko la dunia badiliko hili litaadhirika ama kutakuwa na Ruzuku ingine?Maana nchi zingine zitoa tupunguzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.