Ndugu wanajamvi
Sina hakika kama hii hoja imepata kujadiliwa hapa.
Je n kwanini hasa Mapinduzi ya Mali yameshutumiwa na ECOWAS, UN NA HATA AU?
WHAT IS ACTAULLY BEHIND THE SCENES??
IN SUMMARY
Mr Macharia said all the issues had been cleared but being a health-related matter, the concerned ministries will have to agree.
He maintained that the Kenyan government has no problem with its citizens being quarantined for 14 days when they fly to Tanzania...
Habari zenu watu,
Naomba ushauri wenu,ninatafuta tairi 195/65R15 na mpaka sasa nimepata blacklion,sunfull na boto kwa budget yangu. Blacklion na boto n 100 000 na 105 000 respectively sunfull bado sijajua bei. Mnanishauri ninunue zipi ?Huwa Nina safari ndefu Mara chache na mostly Natumia mjini...
Habarini wanajamvi.,
Kuna shamba lenye ukubwa ekari 3 linauzwa maeneo ya Vianzi ,Vikindu.Anayehitaji anicheck 0769814553
Bei ni ndogo mil 9 maelewano yapo.
Karibuni sana
Habari zenu wanajamvi.
Nilipenda kuulizia mwenye ujuzi na biashara ya Jatropha. Mimi nina namna ya kupata jatropha kwa wingi sana kwa hiyo anayejua soko la Jatropha anijulishe.
ASANTENI
Habari zenu wanajamvi
Please anayejua iwapo bei za vifaa vya electronics ni nzuri mjini Doha tafadhali atujuze. Nasikia Uarabuni hivi vitu ni bei rahisi!
Habari za leo wandugu
Ningependa kufahamu kama kuna mwanajamvi amewahi kupitia Italy bila transit VISA.Nataka ninunue tiketi online lakini sina uhakika iwapo nitahitaji nitahitaji hii VISA au la.Pia naomba kujua kama mtu amewahi kukata ticket hapa www.kiwi.com
Habari za hapa
Nilikuwa nikitafuta cheap flights nikapata hii website www.kayak.com ambayo inanidirect kwenda www.kiwi.com
Naomba kujua kama kuna mtu ana uzoefu na hizi websites. Kama kuna mtu anajua zingine ambazo naweza kufanya booking online please anijuze.
Shukrani
Habari za hapa.
Muda si mrefu nitapokea sigara za aina mbalimali toka Cuba. Wapenzi wa hii kitu nijulisheni kama mnahitaji. Zitakuwepo Kohiba,Romeo and Julieta n.k
Pia anayejua wapi nitaweza kuziuza anijulishe
Asanteni.
Habari zenu wanajamvi.
Nikiwa kwenye harakati za kuingia tz nimejihakikishia kimwana cha ukweli lakini katka kuchat akadai hatai nitumie condoms eti ananipenda sana. Kasema anakubali kupima lakini hakubali kutumia condoms. Sijawahi kuwa na mbongo lakini nilipo bila condoms wakati mnaanza...
Habari zenu wanajamvi.
Ningependa kuuliza kwa anayejua juu ya football academy zilizopo hapa Tanzania. Je zipo ngapi,gharama na requirements za kuwachukua wanafunzi.Je zina ufanisi?
Asanteni.
Habari zenu wandugu,,
Naomba kwa anayefahamu kodi inayotoza TRA kuingiza hizi machine anijulishe. Kama kuna mtu yupo kwenye hii bussiness tafadhali tuwasiliane.Asante.
THE 50 THINGS ABOUT WOMEN THAT BAFFLE MEN:
Their mood swings
How shopping is more than just shopping, it's a social event
The time it takes them to get ready
Their ability to hold grudges
How they remember absolutely everything you say
Why they think men are mind readers
Why they say "I have...
Wakuu habari za weekend.Ninaomba msaada wenu wa mawazo hapa.
Kuna kimwana nafukuzia,alifikia hatua ya kunikubali lakini baadaye mawasiliano yalianza kusumbua na tulikosana but nilifanikiwa kumrudisha. Lakini wakati huo things have never been the same again.
Kwa analysis yangu kuna matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.