Jamani viongozi wangu wa serikali hapa babati tunawaomba sana fanyeni kazi kwa kufuata sheria na kanuni,mimi nikiwa kama mchimbaji mdogo wa madini ya ujenzi hapa babati nashangaa serikali yangu hainipi msaada wowote ninapopeleka malalamiko yangu,mimi nina Leseni ya uchimbaji wa madini ya ujenzi...
Sisi wachimbaji wadogo wa madini wa hapa babati tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa Wilaya ya babati kuwa kuna vurugu imetokea katika maeneo tunayochimba madini kati ya sisi wenye leseni na kikundi cha vijana ambao wamevamia eneo letu nakutufukuza na mapanga huku tukitishiwa kuuawa endapo...
Wakala wa ukaguzi wa madini Tanzania TMAA
linajukumu la kudhibiti uchimbaji haramu na utoroshwaji wa madini ili wahusika wafuate taratibu na sheria ya madini ya mwaka 2010,
Sisi wenye leseni za uchimbaji madini ujenzi tunawaomba TMAA mje hapa Babati muone sheria zinavyovunjwa mchana...
Sisi wachimba wadogo wa madini ujenzi hapa babati tunaiomba serikali yetu itusaidie kusimamia taratibu na sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2010.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wachimbaji haramu hasa katika vijijji vya msware, Riroda, Nakwa na Endanachan.
Uchimbaji huu haramu umetuathiri sisi...
Waziri mwenye dhamana hii tunakuomba ufuatilie hili, kwa ujumla hali sio nzuri tunakuomba uingilie kati leseni zinazotolewa na serikali kupitia ofisi yako hazitambuliki hapa Babati.
sisi wachimbaji wadogo wa madini ujenzi tumeshindwa kutekeleza azma yetu ya uchimbaji kama sheria inavyotuelekeza kwani wanasiasa wamekuwa wakiingilia suala hili bila kufuata sheria ya madini inasema nini juu ya mmiliki wa leseni,wamewaambia wenye malori ya mchanga kuwa wasilipe hela wanapoenda...
Habari wana jf,nauza shamba langu eka 4,shamba lipo maeneo ya mbuyuni barabara kuu iendayo simanjiro,shamba lipo pembeni ya barabara kuu iendayo simanjiro.
Shamba lipo umbali wa kilometa 25 kutokea kona ya mbauda,bei kwa eka ni ml 6.
kwa wale wataalam kuhusu mambo ya utengenezaji wa simu za galaxy,
simu yangu imekufa screntouch,anayefahamu pakuipata au anayo naomba anijulishe tafadhali.
Nauza gari pickup....Make: Isuzu
Model: kb 2001
Body type: pickup
Engine capacity:1654. Imetengenezwa mwaka 1977
Fuel used:petrol.
Gari lipo vizuri linapiga kazi halina tatizo lolote na halijawahi kugongwa.
Picha zimegoma kuapload,najitahidi kutuma,
bei milioni 5 na laki tano tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.