Idara secondary natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi. Yeye aje Kilimanjaro na mimi niende Kibaha Pwani au Chalinze. Tuwasiliane kwa 0757170397
Mimi naona kuna haja ya kupeleka hoja bungeni kwamba walimu waruhusiwe kuhama bila sharti la kutafuta mtu wa kubadilishana nae. Chamsingi mwalimu anayehama mkoa kwa mkoa apate kibali na nafasi anakotaka kuhamia. Kwa kufanya hivyo maisha yatakuwa mazuri.
Tunaiomba serikali itutoe TAMISEMI kwani nishida tu. Uhamisho ni shida bora kubaki wizara ya elimu. Inakuwaje walimu wanakuwa chini ya wizara zaidi ya tatu? Tunahitaji kuwa chini ya wizara mbili tu. Hizo nyingine zinatutesa tu.
Kwa mwendo huu wa kulazimisha walimu kukaa maeneo wasivutiwa au mbali na familia zao kunasabanisha mambo mengi. Ikiwemo kuvunjika kwa ndoa nyingi. Na wanafunzi kutopata kile wanacho kistahili, kwani walimu wanatumia muda mwingi kufikiria jinsi ya kuhama na namna ya kumudu maisha kwa familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.