Search results

  1. M

    Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga

    Makao makuu kuhamia dodoma ni jambo jema , hatuwez kuwa tegemezi wa dar tu na kujenga dar tu, lazma nchi itanuliwe, et kil kitu dar hio haifai, kuhusu pesa zinazotumika ni sahihi tu kwan hata kununuliwa ndege ilikuw kelel hivohivo, ila nilchojifunza hapa watanzania wengne ni wabinafsi, wanataka...
  2. M

    Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

    Nakuunga mkono, Kuna vitu vinazingatiwa ili uuze mazao yako kwenye mahotel makubwa na hizo camps kama vile , quality, ways of production, kind of fertilizer , traces of pesticides , .mi binafsi naataraji kuanza organic farming ndo suluhishi
  3. M

    Ulishawahi kufikiria kitu halafu ukakikuta kwenye Mitandao ya kijamii?

    Nimekuelewa vizuri, na naendelea na utafiti wangu kuhusu internet
  4. M

    Bongo Kilimo Bado sana tena sana

    Ulichoongea ni sahihi, na sio kwamba wanaweka hizo TC's kuwabana wakulima, ila ni lazima zao lilimwe kwa utaratibu unaozingatia usalama wa mlaji, mfano mimi ni nimewah fanya kaz shamba moja, walinichukia kwa aina yang ya upigaji wa dawa, aisee wakulima wengi wanapiga dawa bila mpangilio tena...
  5. M

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Hapa gharama zinategemea yafuatayo 1: location 2: source of water 3:labour 4: farm implement 5:Other inputs Jaribu hapo kuchanganua hapo mkuu
  6. M

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Inategemea na upandaji ,mfumo wa umwagiliaj na aina ya mbegu, hua inaanzia miche 2000-4000
  7. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Hiyo n fruit end rot au ukungu kati ya hayo, kama hilo doa ni gumu ni fruit end rot ,upungufu wa calcium uweke mbolea ya CAN au yeyote yenyewe calcium , kama n rain ni fungus( ukungu) upige fungicide
  8. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Mkuu hapo kuna mambo mawili either ni bacterial spots au bacterial spec , je kwenye majan nako kuna madoa na majan yanakuwa kama ya njano? Kama ndio ni bacterial spots
  9. M

    Ndege wananimalizia alizeti. Kwa hatua hii zinafaa kuvunwa?

    Exactly zipo teyal kuvunwa, ukisubiri hadi zikauke zitapotea nyingi unapozipukuchua
  10. M

    Bwawa la The Three Gorges la China limepunguza kasi ya mzunguko wa dunia

    Bado majawabu mliyotoa hayajitoshelezi, je ni maji au material yaliyotumika ndo chanzo cha kupunguza spidi au vyote, na je bwawa hilo limevizdi uzito vtu kama mount everest? mawazo yangu tu!
  11. M

    Msaada wa vifaranga vya Sasso au Kuroiler

    Mkuu napata shida kukutumia pm, wakisema siwezi kuanza mazungumzo nawe
  12. M

    Msaada wa vifaranga vya Sasso au Kuroiler

    Uz umekosa wachangiaji 😔😔😔😔
  13. M

    Msaada wa vifaranga vya Sasso au Kuroiler

    Habari za muda? Kwa yeyote anayefahamu wanapouza vifaranga vya sasso au Kroiler ndani ya Dodoma anifahamishe, au mwenye contact za wakala yeyote wa silverland aliyepo dodoma anipatie, usisahau kunijulisha na Bei. Karibuni!
  14. M

    Sasso vs Kroiler

    Weka picha za hao tanbro tuwaone kwanza
  15. M

    Sasso vs Kroiler

    🤣🤣 , Maybe
  16. M

    Sasso vs Kroiler

    Yeah lakini Kwa huku Dodoma soko lipo, kwasabu nimewah uza wa kienyeji pure mara kadhaa Kwa mkupuo wa kuku Zaid ya 20 Kwa Bei ya juu, na kuhusu chotara soko lipo kwenye bar ,hotels na restaurants, pia yupo ndugu yang aliwafuga wakaumwa akawauz Kwa Bei ya sh 5000 kilo mmoja Tena wakiwa wagonjwa
Back
Top Bottom