Mijitu mingine bana... yaani sredi inakwenda vizuri yenyewe inaharibu hali ya hewa. Sasa haya mambo ya simba jana yanakujaje, acheni machungu ya watu yapungue bana...:angry:
Niliwahi pata nyepesi kwamba wakati huyu bwana mukubwa akiwa katibu mkuu afya, aliwahi kwaruzana na 'nguli' moja pale wizarani ambaye aliaminika kuwa mtu wa system... kilichotokea ni kwamba mmoja alimwaga mboga na mwingine akamwaga ugali, wote wakang'oka; Mukama akapelekwa jiji mwingine...
Mimi nakataa...
Nyadhifa nyeti kama hii, tena katika kipindi cha dhoruba kama hiki - apewe Sheikh Yahya... Uwezo wa kuona mbali, uadilifu na zaidi 'his Unquestionable loyalty' kwa JK havina mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.