Huna jipya sisi wananchi huku nje tunawasubiri kwa hamu. Kumbuka tuna kadi za CCM na sio CHADEMA sisi. Kama hamuamini tutawaonesha kazi. Iweje mtuhumiwa apewe nafasi ya kujipatia hukumu?
Nimeona niyaseme haya hasa baada ya kushuhudia mapokeo ya ripoti mbalimbali kwa upande wa serikali ya chama cha mapinduzi.
Tukianzia na tume ya jaji Kisanga, Tume ya katiba ikiongozwa na Jaji Warioba na sasa ni kamati ya PAC.
Wote walifannya kazi waliyoagizwa kwa mujibu wa sheria...
Nawahurumia sana Stanbic Bank na Mkombozi kwa kusaidia kutakatisha fedha. Kuna uwezekano mkubwa sana zikaingizwa kwenye global watch list kama taasisi za fedha zinazo chochea utakatishaji wa fedha.
Kwa upande wa Mkombozi bank, hizi habari si nzuri sana kwa sababu zinakuja kipindi ambacho...
Beba mimba umzalie mtoto, ataanza kukuamini. Mimi mwenyewe simuamini wife mpaka kesho, sababu hasa ni mazingira niliyokulia. Mambo niliyoyaona katika maisha yanatisha mno kuhusiana na uaminifu katika relation. Kwangu advantage inakuja kwa vile mtu hawezi kunisoma kwa urahisi kwamba simuamini.
Eneo gomvu kwa bei hiyo???? Kalaghabaoh......kweli nimeamini ule usemi wa kwamba " information is power"
Less informed dudes are most likely to fall into your trap! All the best superman Akiri=akili kichwani.
Kawaida unachukua simub ya mteja na kisha unanakili namba ya muamala, then unawapigia tigo au mpesa ku- confirm transaction. Wakikuthibitishia imepita then unampatia fedha. Lakini mara zote unashauriwa kuweka kumbukumbu ya floating balance kila wakati.
Wizi wa kupitia ATM upo almost every bank ndani ya Tanzania, wanaohusishwa na wizi huu nasikia ni wa bulgaria, wakenya pamoja na wazungu wa kutoka marekani. Unaweza kupata habari zaidi ya aina ya wizi huu hata kwa kutumia google search engine. Nakushauri fanya hivo kwa faida yako na jinsi gani...
Yes kuna makampuni yanatengeneza misumari na bati bongo:
Jeje industries ltd
Import international ltd
Morogoro wire rolling ltd
Kilo moja ya misumari ina range kuanzia TZS 2500 hadi 3000
Hii ni biashara ambayo itakulipa sana, mimi pia nataka kufungua kiduka changu cha hardware...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.